Manchester United (Red Devils) | Special Thread



#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
Your browser is not able to display this video.
 
Nawakumbusha tu "Wanangu wa Man U" hata bid ya Saudi Arabia kwa Newcastle ilikataliwa na ikaripotiwa na vyanzo vikubwa vya habari kama SkySports kuwa Saudia wamejitoa ila mwisho wa siku Mwarabu akapewa timu.

Mwarabu anachukua timu, ni suala la muda tu.
 
Wewe unaota Tena mchana kweupe

Leo Sir Jim alikuwa na kikao na bodi ya manjesta yenye watu 12 , wameshampitisha kuchukua timu

Zimebaki small details mpaka next week ,Sir Jim atatangazwa rasmi ,na atakuwa na nguvu upande wa sporting

Pia taratibu atakuwa anauziwa hisa hadi zifike 100%


Motto wa Sir Jim

"Tuirudishe manjesta kwa Wana manjesta"
 
Kwaheri sheikh ubwabwa Jasim,

Manjesta ina wenyewe na wenyewe kina Sir Jim

Sources close to Sheikh Jassim say there is "no chance" he will return to the negotiating table.


[@MikeKeegan_DM]
 
Casemiro ndiyo kiungo mbovu namba 6 kuliko wote katika zile big 6

 
Hatujafika hata GW10 tayari mmeshaanza kuhamia kushabikia Mamacita ,wengine mmeheuka wapiga ramli

fuentte huyu amekuwa na uchungu Sana , Jumamos Sheffield wanataka sare tu
 
Kusema kweli huu uzi ulikuwa mbali sana kwenye new au trending post.
Ila naamini matumaini yanaanza kuja baada ya hii break.
GGMU
 
Jumamosi tunaanza ligi.
Na kama unaujua utaratibu wa EPL, man utd wakiwa form arsenal lazima wapoteane tu.
Msijilinganishe na Arsenal nyie nyumbu.
Mkiwa mnataka kulinganisha wenzenu ni Aston Villa na West Ham.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…