Nawakumbusha tu "Wanangu wa Man U" hata bid ya Saudi Arabia kwa Newcastle ilikataliwa na ikaripotiwa na vyanzo vikubwa vya habari kama SkySports kuwa Saudia wamejitoa ila mwisho wa siku Mwarabu akapewa timu.
Nawakumbusha tu "Wanangu wa Man U" hata bid ya Saudi Arabia kwa Newcastle ilikataliwa na ikaripotiwa na vyanzo vikubwa vya habari kama SkySports kuwa Saudia wamejitoa ila mwisho wa siku Mwarabu akapewa timu.