xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,077
- 5,918
Onana kakubali Mwenyewe goli la kwanza ni makosa yake alafu we unakuja kumtetea hapa, una ajenda gani ya siri nae? Lile shuti hata mtoto wa darasa la kwanza anadakaHivi wewe huwa unituzama mpira gani? Onana anayomapungufu yake ya kibidam kama alivyokuwa De gea, kwa magoli anayofungwa Onana kipa yeyete yule ata awe bora vipi anafugwa. Tunafungwa magoli ambayo mfungaji anakuwa huru na kuchagua wapi ashoot yaani hakuna block wala interference anayofanyiwa na beki zetu. Hivi sasa tumekuwa na beki mbovu nadhani kuliko msimu wowote tangu niwafahamu utd. Kama nikustop mashut tumeona Onana anstop shoot nyingi tu. Majeruhi ya beki zetu huwenda ndio yanatugharimu kwa kiasi kikubwa Nilichofurahi leo angalau timu imeanza kupata magoli kupitia straiker sio viungo na mabeki pekee.
Unasema hii ndio beki mbovu ya Manchester? Tulishawahi kuwa na back four ya Blind, phill Jones, Smalling na Valencia, mbele yao kuna Fellain, Carrick na Herrera unless umeanza kuifuatilia Manchester sababu ya betting.
Kipindi cha Van gaal karibu kila mechi ddg anakua MoM sioni hii ikitokea kwa Onana, unapigiwa mashuti 15 mashuti 10 yanakua goli.