Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huna mpira wa kuifunga Brighton

Nitarudi kukukumbusha hapa
Wew mwenyewe hujui mpira, umekaa tu kindezi mda wote hupo humu kwenye jukwaa la Manchester United ukikomenti utopolo tu.

Unashindwa kufokasi na timu yako ya arsenal, na usichokijua huo utoto wako wew sio wa kwanza, tumeona maboya wengi zaidi yako kwenye hili jukwaa na walipoa wao wenyewe.
 
Mimi nipo Jf toka 2009

Wewe ndio mgeni humu

Brighton wakiwakaanga utashika adabu vzr
 
Mchambuzi Nguli na lejend wa manjesta Gary Neville anaungana na mchambuzi nguli wa Jf


Gary Neville



"Football never ceases to amaze you; Manchester United haven't crossed the halfway line. They've had a million passes in their own half."

 
Mimi nipo Jf toka 2009

Wewe ndio mgeni humu

Brighton wakiwakaanga utashika adabu vzr
Ndio maana nakuambia wew ni boya, account yako inaonesha umejiunga jf 2013. Na usichokijua mie nimeijua jf tokea mwaka 2007. Kabla ya kujiunga, hivyo still narudia kusema wew ni mtoto bado hujawa matured, sababu ujinga unaokomenti hapa unadhihirisha nikwa jinsi gany ulivyo mweupe kwenye mpira wa miguu.
 
Unalalamika Nini hasa
 
Unalalamika Nini hasa
 
Yes. Najua Flano Hana matusi. Nimesema tu zamani ulikuwa huweki picha za kukera kama Flano anavyofanya kwetu. Ila Kwa sababu Hawa jamaa wanatukana sana, Sasa umezidisha makali kwenye utani hadi picha sasa unaweka
 
Kuna muda ndani ya dk 10 manjesta walishindwa kabisa kuvuka midfield ya Arsenal,


Sky sport wanaelezea muda huu

Nikisema hii timu Ni mbovu namaanisha

Nikisema 7hag Ni kocha tapeli namaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…