Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumepoteza mechi kwa uzembe wa wachezaji wachache tu hasa poor marking ya beki zetu, ila kiufupi kocha hawezi kupewa lawama maana hakukuwa na option ya Erksen nje, leo huyu bwana katugharimu maana alichoka sana, pia wadau leo mtakubaliana na mimi Antony akifanyiwa sub huwa tunapata majanga sana.

Nilichokifurahia ni hatari ya timu yetu waliyopeleka kule mbele baada ya Hodjlund kuingia naamini baada ya international break tutaiona utd ya tofauti kabsa
 
 
Usik
Usikilizwe mkuu, una hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…