Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
whatever ila kadri tunavyofungwa ndo uwezekano wa moyes kutimuliwa unavyolkuwa mkubwa kuliko tukishindaSiyo kwamba unaombea...but that's a reality!
whatever ila kadri tunavyofungwa ndo uwezekano wa moyes kutimuliwa unavyolkuwa mkubwa kuliko tukishinda
T
Too true. Bora tutolewe sasa hivi na Olympiakos kuliko kipita raundi hii alafu kwenda kudhalilishwa na kina Mardrid, Barca, Bayern, PSG, etc. The only good that will come out of beating Olympiakos is that Moyes will fool the boardroom for a few more days until the next big embarrassment (most likely the game against Man City). Best case scenario is tufungwe kesho nyumbani au tutoke droo, tufungwe au tutoke droo na West Ham, tufungwe na Man City (tena tufungwe vibaya). At that point even the most loyal supporters of Moyes will abandon ship and hopefully he then gets fired. Wamuachie Giggs aongoze timu hadi mwisho wa msimu afu watu waangalie mchakato wa kupata kocha anaefaa.
Najua SAF na madirector wa Man United wanataka United iwe tofauti na timu nyigine kwenye swala la kubadilisha makocha kila mara lakini falsafa hiyo inafaa kuitetea kama kocha aliepo anaonesha uwezo au dalili ya kuwa na uwezo wa kuleta mafanikio. Kwenye swala hili la Moyes akifukuzwa ni sawa maana sio kwamba anaonewa kama makocha wengine waliotimuliwa na timu nyingine kubwa hivi karibuni, bali ni kwasababu hajaonyesha uwezo.
T
Too true. Bora tutolewe sasa hivi na Olympiakos kuliko kipita raundi hii alafu kwenda kudhalilishwa na kina Mardrid, Barca, Bayern, PSG, etc. The only good that will come out of beating Olympiakos is that Moyes will fool the boardroom for a few more days until the next big embarrassment (most likely the game against Man City). Best case scenario is tufungwe kesho nyumbani au tutoke droo, tufungwe au tutoke droo na West Ham, tufungwe na Man City (tena tufungwe vibaya). At that point even the most loyal supporters of Moyes will abandon ship and hopefully he then gets fired. Wamuachie Giggs aongoze timu hadi mwisho wa msimu afu watu waangalie mchakato wa kupata kocha anaefaa.
Najua SAF na madirector wa Man United wanataka United iwe tofauti na timu nyigine kwenye swala la kubadilisha makocha kila mara lakini falsafa hiyo inafaa kuitetea kama kocha aliepo anaonesha uwezo au dalili ya kuwa na uwezo wa kuleta mafanikio. Kwenye swala hili la Moyes akifukuzwa ni sawa maana sio kwamba anaonewa kama makocha wengine waliotimuliwa na timu nyingine kubwa hivi karibuni, bali ni kwasababu hajaonyesha uwezo.
Naomba Mungu mechi ya leo tufungwe bao nyingi,mechi na Westham tufungwe mechi na Manshity tuzalilishwe hatimae Moyes akimbie mwenyewe.
Ndio wewe Ngongo unayesema hivi leo?
Sio kweli mkuu, Ferguson na Moyes wote ni Scottish hivo wanaheshimika kwa hilo.Descipline kimeo sana pale siku izi..
.
Giggs bado sana kuachiwa timu ni bora arudishwe Mike Phelan
moyes akifukuzwa im sure hata yeye hatolalamika kwamba hajatendewa fair na badala ashukuru kwa kuachiwa kukaa almost msimu mzima kwa matokeo yale aliyoyaonyesha hana wa kumlaumu zaidi yake mwenyewe,its possible leo kagawa ataanza,kuna tetesi kwamba kapewa mechi tatu za kumuangalia hatma yake kwa inaovyyonekana ni kama vile wachezaji hawamtaki ila hawana ujanja wa kumtimua the only thing they can do ni kuunder perform,lets hope hizi tetesi za mechi tatu ni kweli though jana amezikanusha amedai kwamba united hawawezi kumfukuza kwamba hawana utamaduni huo wanaaim long term plan tofauti na klabu nyingine thats y wamempa mkataba wa miaka sita,so lets wait and see.the good thing kwake ni kwamba smalling kaumia so hatofanya balnder kama zamani alivyokuwa anfanya kumpanga smalling na kumuweka rafael nje so lets wait kwa kikosi chake atakachotangaza.
Kumbe tuko wengi wenye mawazo kama haya! Huwa najiuza, hao wanaomtetea hivi wanaakili kweli? Binafsi naomba jamaa (MOYES) apigwe hata risasi leo hii ili nipumzike na haya mateso.Naomba Mungu mechi ya leo tufungwe bao nyingi,mechi na Westham tufungwe mechi na Manshity tuzalilishwe hatimae Moyes akimbie mwenyewe.
Dah! Mungu ajaalie iwe kweli.Hii inaweza kuwa mechi ya mwisho ya DM.
David Moyes is a football genius...hawezi kufukuzwa!
Na ndio ashindi ng'o! Mbwa yulekweli mkuu mimi namuombea ashinde hizi mechi ili asifukuzwe
Na ndio ashindi ng'o! Mbwa yule