IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,738
- 7,085
7hag anaingia kwenye list ya makocha wa mchongo niliowahi waona
Sajili za kubahatisha
No playing style installed
No proper tactics
Anajifanya ana maamuzi magumu ,kumbe tapeli
View attachment 2735477
Leo saa 6 usiku.Dirisha la usajili linafungwa lini?
Wewe auna uwezo wa kunifunga hata goal 4 toka miaka na miaka unapiga kelele tu.Unamuuza Henderson ,Kovar magoal kipa wazuri ,
Unaleta kipa wa Majaribio toka kilabu kinaitwa anatanyalisp huko,
Means safari hii Carabao energy drink cup ,FA cup na January,Omama akienda AFCON huyu mcheza movie za uturuki ndio akae Golini
Nyumbu mko serious kweli
7hag ruined talents coz ana ZERO TALENT ID
View attachment 2735502
Ok nilidhani ndio limeishia janaLeo saa 6 usiku.
Subiri JumapiliWewe auna uwezo wa kunifunga hata goal 4 toka miaka na miaka unapiga kelele tu.
Huyu ni mtaalam wa kuspin na tumemsajili maana anasaidia kukabaAntony has ONE PREMIER LEAGUE GOAL since October 2022
€100m
Moja ya Sajili za kitapeli za kukumbukwaView attachment 2735540
ShotiiMimi Ni Jeshi halafu muhuni ,pastor ,mwisho mchambuzi nguli niliyebobea
Jumapili omba Sana tusishinde
Huna timu ya kuzuia msako pale Emirates
tuwekane sawa wakuu ⚽️
mara ya mwisho kunyenyua kwapa kwenye EPL ni msimu wa 2012/2013. hivyo mnamiaka 10 sasa punde itakuwa 11.
mara ya mwisho kuchukua UCL ni 2008
miaka 15 mpaka sasa bila UCL.
Utabiri wangu
EPL mtachukua baada ya miaka 40😇
UCL mtachukua baada ya miaka 60😁
Iyo ni Kawaida yenu Bwana kupiga msako hafu magoal Amna kitu.Subiri Jumapili
Tutawapiga msako wa nyani Hadi muimbe
baba ataka bwana in Jux voice
.Iyo ni Kawaida yenu Bwana kupiga msako hafu magoal Amna kitu.
Bado nani tena?Hatimae imekuwa SasaView attachment 2735718