christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Exactly sasa huu ndio uchambuzi, mtu unachambua kwa fact sio kuzodoa.Hua nawaambia hapa wanavyo lalamika antony antony sijui hua hawaoni kina Rashfd wanafanya nn
Mm antony hua naona kule mbele ndo anapambana kasoro yake mguu mmoja tu
Ajifunze kuingia ndani kwa speed pindi anapokuwa na mpira, pia aongeze ulinzi anapokuwa na mpiraKinaongelewa hapa uwezo wa kutumia kwa ziada weak foot kitu ambacho Antony hana hata kupiga shuti na mguu wa kulia hawezi
Amuassist nani sasa hivi kwa cross alizopiga kwa Rashford toka huu msimu umeanza unadhani tungekuwa na straiker wa maana angekuwa na assist ngap? Mpaka sasa tumu yetu magoli yamefungwa na viungo na beki au hilo hamlioni?Na hiyo weakness ndio inatuangusha huo mguu mmoja huwa unafanya anaua mashambulizi mengi sana.
Siwezi kumdai magoli mimi nahitaji assists kwa sana aache ubinafsi
Sijaangalia mechi ila najua ulichoandika hapa ni uongo. 😄Kuna wachambuzi uchwara humu wao kila kukicha ni kumponda Antony sijui huwa wanakula maharage gani. Tumeona hapa baada ya Antony kutoka uwanja umeinama na tumefanyiwa msako wa hatari mpaka tukawa tunamlaumu refa amalize mpira wakati Forest wao wanakadi nyekundu.
Kimpira sikatai Antony anamakosa yake lakini sio makubwa kama yanavyokuzwa, huwezi fananisha Anton na Sancho, Rashford na Martial. Antony kapiga cross za maana leo straiker wakufunga hakuna.
Nitakuwa wa mwisho kuamini Antony ni mbovu mpaka pale nitakapomuona akicheza na straiker mwenye kujielewa.
Potential ipo kweli ila tunachopinga ni yeye kuanza hata pale tunapoona hana form nzuri. Kwanini kocha asiwape wachezaji wengine nafasi?Huyu Antony Angekuwa Pale Man City Lilikuwa Balaa Lingine Ndani Ya EPL.
De gea angekuwepo ndio angefunga magoli kule mbele? Hivi uhuru wa kutoa maoni mbona mnautumia vibaya?Leo sijaangalia mechi ila mimi nilishajua mapema maamuzi ya kumuacha De Gea ni mokosa makubwa sana. Kipi kinafanya timu yetu tukose quality players kila position?
Sasa hivi wanataka kuleta sijui kiazi gani tena baadaye tukifukuza kocha tupate tena tabu kuondoa deadwood.
Kama kawaida yetu mechi ya Spurs ni aina ya mechi tutakayokuja kuikumbuka huko mbeleni.
Ni upuuzi tu Ten Hag anafanya! 🚮
Hujaangalia game unamcritize Onana. Una ugomvi nae binafsi? Hujaona Crucial save aliyofanya dk ya 87?huyo De Gea ambaye ni Quality Player Bayern wamemkataa, Madrid wameona bora Kepa..... Hana namba timu ya taifa na ni siku 4 tu zimebaki dirisha lifungwe.Leo sijaangalia mechi ila mimi nilishajua mapema maamuzi ya kumuacha De Gea ni mokosa makubwa sana. Kipi kinafanya timu yetu tukose quality players kila position?
Sasa hivi wanataka kuleta sijui kiazi gani tena baadaye tukifukuza kocha tupate tena tabu kuondoa deadwood.
Kama kawaida yetu mechi ya Spurs ni aina ya mechi tutakayokuja kuikumbuka huko mbeleni.
Ni upuuzi tu Ten Hag anafanya!
Ila katika wachezaji wake naona kidogo Mount ndio kakurupuka ila wengine ni wapambanaji sema kinachotokea ni kama kumchezesha Pogba na Bakayoko.Leo sijaangalia mechi ila mimi nilishajua mapema maamuzi ya kumuacha De Gea ni mokosa makubwa sana. Kipi kinafanya timu yetu tukose quality players kila position?
Sasa hivi wanataka kuleta sijui kiazi gani tena baadaye tukifukuza kocha tupate tena tabu kuondoa deadwood.
Kama kawaida yetu mechi ya Spurs ni aina ya mechi tutakayokuja kuikumbuka huko mbeleni.
Ni upuuzi tu Ten Hag anafanya!
Ubovu watu wanaangalia output peke yake ila Workrate yule anayo kuliko foward yoyote pale Man U. Kama leo kacreate chances 4.Wengi wao huwa ni wafuata mkumbo tu Antony ni typically Man utd player, anayo fighting spirit ambacho ndicho kigezo kikubwa cha wachezaji wa united kitu ambacho Rashford, Sancho na Martial hawana.
Ukifuatilia sajili zote za Ten hag amesajili watu fighter na wabishi wabishi yaani aggressive pale wabapokuwa na mpira, Anzia Mallacia, Antony, Casemiro, Matinez, Mount na sasa Hodjlund. Kinachomkwamisha kwa sasa ni kuwachanganya vijana aliyewasajili na hawa wavivu kina Rashford hapa atakwenda kuanguka, ni lazima aangalie namna ya kucheza bila hawa wavuvi ikiwezekana wawe wanatokea benchi wakati biashara imeshaisha.
Sasa wanakuja wachambuzi uchwara humu wanajaza server ukisoma uchambuzi wao unaishia kusikitika tu na kujiuliza hivi hawa wanaangaliaga mpira kwel?
Sawa namsubiri Hojlund tuone nini atafanya.Amuassist nani sasa hivi kwa cross alizopiga kwa Rashford toka huu msimu umeanza unadhani tungekuwa na straiker wa maana angekuwa na assist ngap? Mpaka sasa tumu yetu magoli yamefungwa na viungo na beki au hilo hamlioni?
On the Bright side De Gea was on £375,000 a week means kwa mwaka ni £19.5m mmesave ambayo ni huge boost financially.... Onana is on £120,000 per week.Ila katika wachezaji wake naona kidogo Mount ndio kakurupuka ila wengine ni wapambanaji sema kinachotokea ni kama kumchezesha Pogba na Bakayoko.
Kuna maeneo yana watu waliojichokea hasa kiungo chote,LB na LW.
De Gea kuachwa ilikuwa ni uamuzi sahihi usidanganywe na kauli za wajinga wachache kuhusu Onana
IUamuzi pekee ambao haukuwa sahihi ni kumsajili Mount na kuwapa Rashford na Shaw mikataba mipya
Hapa jukwaani wala hakuna anayefanya uchambuzi.Exactly sasa huu ndio uchambuzi, mtu unachambua kwa fact sio kuzodoa.
Mchezaji aliyefunga 30 goals last season in all comps? Leo ameassist na kuwin penalti. Sasa wewe utakua shabiki wa PSGSawa namsubiri Hojlund tuone nini atafanya.
Sema katika kitu cha kijinga kuwahi kutokea ni kutakaa €80m ya PSG kwa Rashford tungetafuta LW bora na pia tungekuwa tumepunguza matatizo sana tumeyaongeza kwa kumpa mkataba mpya na anacheza kifaza
De Gea alikuwa na wafuasi wengi nikiwemo mimiHujaangalia game unamcritize Onana. Una ugomvi nae binafsi? Hujaona Crucial save aliyofanya dk ya 87?huyo De Gea ambaye ni Quality Player Bayern wamemkataa, Madrid wameona bora Kepa..... Hana namba timu ya taifa na ni siku 4 tu zimebaki dirisha lifungwe.
Umeelewa vizuri nilichoandika lakini?De gea angekuwepo ndio angefunga magoli kule mbele? Hivi uhuru wa kutoa maoni mbona mnautumia vibaya?
Kabisaa... Unajua Presha ya kuchezea timu kama Utd.De Gea alikuwa na wafuasi wengi nikiwemo mimi
Ila kuanzia mwezi wa 4 zile boko zake nikabadili mtazamo.
Onana watu wanaomponda wana chembe za kibaguzi ni kisa Mwafrika tu ingekuwa tumefanya replacement ya De Gea na kipa mzungu usingesikia hizi mada
Halikuwa kosa hata kidogo kumuacha, kosa lipo kwenye gharama tulizotumia kuziba nafasi yake.Leo sijaangalia mechi ila mimi nilishajua mapema maamuzi ya kumuacha De Gea ni mokosa makubwa sana. Kipi kinafanya timu yetu tukose quality players kila position?
Basi hapo ni nafuu acheze Pellistri maana Sancho hakuna work rate wala upambanaji kwake.Hapa jukwaani wala hakuna anayefanya uchambuzi.
Football analysis siyo maandishi, hapa wengi wanaandika facts. Antony ni kiazi tu, hatukatai anayo potential ya kuwa mchezaji mzuri ila huu muda anaopewa unaigharimu timu yetu.
Rashford hata kama anafanya vibaya huwezi kumuweka bench kirahisi, LW hatuna options za kutosha. Garnacho bado ni raw talent sana.
Ukitaka kujua Ten Hag ni fala yupo radhi Fernandes acheze RW ila siyo Sancho au Pellistri waanze. Kama mnamsifia Antony ana work-rate kubwa basi bado hamjamuona Pellistri (talent + work-rate)
Ten Hag kiburi chake kitamfikisha pabaya!