Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Unateseka sana kwenye huu uzi.
Kila wanachofanya Manchester united kinakutesa kiwe kibaya au kizuri.

Kama vipi mmchukue, si kwanza hamna striker wa kueleweka.?
 
Manchester United ni timu kubwa.

Hivyo vingine ni vitimu vya uchochoroni.

Sasa timu anayocheza Rice ina utofauti gani na leeds united.?

Manchester united ni timu kubwa habari zake zinawapa watu pesa.
 
Mason Mount will miss Man Utd's match vs. Nottingham Forest on Saturday after picking up an injury vs. Tottenham, and is expected to be out until the international break in September
 
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
 
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
Nyumbu Wana vitu vingi vya kujifunza kutoka kwetu. Waache ujeuri tu
 
Ile ishu aisee Partey angekuwa manjesta Leo hii asingekuwepo anacheza

Arsenal waliimaliza kibishi Sana ,yule demu alijitokeza kwenye social media akidai alifanyiwa vitu vibaya Tena kwa ushahidi akidai upo
Greenwood kesi yake ilikuwa ngumu sana. Ushahidi wa picha na sauti ndiyo uliharibu kila kitu.

Ukiangalia kesi ya Banzema ni mbaya zaidi, kutoka na mtoto wa miaka 15 na bado Madrid wakabaki naye. Huu ndiyo tunaita ubakaji.

Kesi ya Greenwood haieleweki kama kweli yale majeraha amesababisha yeye kwasababu hakuna uhusiano wa moja kwa moja na ushahidi wa sauti.

Greenwood ni kama alikuwa analazimisha game na mwanamke hataki (mimi huu siuti ubakaji) unawezaje kumbaka mpenzi wako?

Inawezekana demu alipata majeraha kwa vitu vingine akaamua kuunganisha story. Mimi naona ni utoto tu alifanya. Angewashirikisha wanafamilia na kumfungulia kesi Greenwood wasingefika huku, maana raia wasingeona zile picha au kusikia sauti zaidi ya mahakama.

Pia, hii inaonyesha nguvu ya Social Media inavyoweza kujenga na kubomoa. Benzema na Ronaldo kesi zao ziliwakuta miaka hiyo matumizi ya social media hakuna au ni madogo. Sasa hivi kitu kikiwekwa kwenye Internet hakifutiki. Yule demu alifanya utoto sana na inaweza kuleta picha mbaya kwa mtoto wao huko mbeleni.
 
Mambo ambayo niliyaongea miezi kadhaa iliyopita kuhusu Erik 7 hag ,siku hizi naona wachambuzi wengi ndio wanayaona sasa

Hasn’t improved Sancho
Hasn’t improved Antony
Ruined Maguire’s #MUFC career
Disrespected De Gea
Can’t create effective midfield
Setting about ruining Mount

β€œIs Ten Hag actually any good?”

Adrian Durham lists incidents that don’t reflect well on Erik ten Hag
 
BREAKING: Sheikh Jassim is set to complete his full Β£6billion takeover of #mufc by mid-October.

[The Sun]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
ameongeo point ila kuna sehemu ametumia unazi kama hapa kwa maguire huyo mchambuzi ametumia uingereza wa Maguire kumtetea.angalau angesema Maguire ruined ole gunner carrier
 
The Glazers wanted to continue holding shares but were warned by senior Old Trafford figures there would be a huge backlash from the fanbase.


[The Sun]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Jean-Clair Todibo is nearing a move to #mufc, despite Harry Maguire staying.


[L'equipe]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
David Beckham On Leaving Manchester United


Beckham:
"When I joined Manchester United, I never wanted to leave the club. When they said they wanted to sell me, I called Real Madrid for the first time after that. That's when I knew the dream of playing for Manchester United was over.
I couldn't watch Manchester United games for two years, I was so upset.
It was difficult for me to leave Manchester United and accept the fact that I will no longer play there.
"I don't want to say anything negative about Seralex because he was the one who gave me the chance to make my dream of playing for Manchester United come true."

#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Global club football rankings


[FiveThirtyEight]
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
David Ornstein: β€œThe bigger unanswered question is whether the Glazers will really sell Manchester United when push comes to shove. So far we haven’t had an answer yet but perhaps we are getting towards it now.”


(Source: Sky)
#𝙏𝙧π™ͺπ™¨π™©π™π™π™šπ™‹π™§π™€π™˜π™šπ™¨π™¨π™€π™π™ƒ

#π™π™£π™žπ™©π™šπ™™π™›π™€π™§π™©π™π™šπ™π™–π™£π™¨

#π™Žπ™π™šπ™žπ™ π™π™…π™–π™¨π™¨π™žπ™’π™„π™£π˜Όπ™©π™ˆπ™–π™£π™π™©π™™

#π™‚π™‘π™–π™―π™šπ™§π™Šπ™π™

#π™‚π™‚π™ˆπ™


man utd |
 
Manchester United lost 3-0 to Burnley in a behind closed doors match today at Carrington. πŸ”΄

Vijana wa Ten Hag wamekula kipigo tena kutoka kijana wa Pep Guardiola, Vincent Kompany.

Yani tunafungwa hadi na promoted club: mimi nawaita Championship club, 3-0!!! πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…