Dah mkuu hapa nimecheka kwa sauti kinomaNjooni mbebe takataka yenu kenge nyie.
Laana ya kutuzulumu pesa yetu kwa hili li Freemason lazima iwatafune wajaa laana nyie.
Kwa huo utapeli wenu mliotufanyia mpaka kufika october hizo wodi za Mloganzila hapo darajani lazima zijae kukulela nyie.
Uchochez?Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Uchochez?
Hapana ase, Kama unanifatilia huyo kocha ni moja ya walimu naaakubali ,nilimsema Sana wakati anafika ,sema wengi hamumjui, huyo kocha ana mbinu zakumpiga kocha yoyote unayemjua wewe,ila akija Man Utd lazima utampondea, Masingeli una maana basi wewe
Masingeli inasemekana mdingi wake ni mshabiki wa manchester united.ila akija Man Utd lazima utampondea, Masingeli una maana basi wewe
Masingeli inasemekana mdingi wake ni mshabiki wa manchester united.
Siku man utd ikipata ushindi mnono alikuwa anapewa buku jero kwa ajili ya kutumia shuleni.
Akija mwambieni nimeondoka
Nimuite XyZ?Mi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Wewe hata huoni maandishi yake, muda wote ni man utd.We fala umenichekesha kinyama.
Mamluki kule si ndio rafiki zako , wanasema wamehama timu lakin Arsenal ikishinda wanalalamika ikifungwa wanalalamika,na mshehereshaji ni weweMi nafurahi nikiwaona Arsenyau humu kwenye jukwaa la wanaume, jifunzeni humu namna watu walivyo huru (free-minded) kujadili timu yao.
Angalia humu watu wanavyo kosoa kuanzia kocha, wachezaji mpaka wamiliki na hakuna yoyote anae waattack.
Kule kwenu ukimkosoa Arteta na Masingeli inakua ni kama vile umetangaza vita ya 3 ya dunia, utahesabika ni mamluki na hakuna rangi utakayo acha kuiona
Hapana ase, Kama unanifatilia huyo kocha ni moja ya walimu naaakubali ,nilimsema Sana wakati anafika ,sema wengi hamumjui, huyo kocha ana mbinu zakumpiga kocha yoyote unayemjua wewe,
Klopp aliwahi pigwa game 2 kwa Mpira mwingi sana
π π π π ...mashabiki mnajifanya mnajua sana kuliko kocha....alichofanya ndo alichotumwa kukifanya na kocha....mpeni nafasi msela....mfumo ukimkubali mtaelewa ten Hag alichokiona kwake mpk akamnunuaBaba ubaya alivyohojiwa jana na waandishi wa habari juu ya kiwango cha Mount.
Ten Hag kuhusu Mason Mount
"Amecheza vizuri. Alifanya kile tulichotarajia akifanye. Alikuwa na kiwango kizuri sana kwenye mchezo."
Kwa performance ile ya Jana mmfiche Nini, mmcheza na wolves kocha wao ana wiki moja tuTunakuwaga na mechi ngumu sana tunapokutana na wolves lakini kwa jana tulichemka vibaya mno.
Uzuri dirisha linafungwa mwezi ujao nafasi tunayo.
hafu hawa wapumbavu wamludishe Mason haraka waache ma ujinga yao shenzi.
Rashford kumchezesha striker ni kumuonea tu,Sancho Jana nimeona ana kitu msimu huu tumuangalie kwa jicho la tofauti.
Uzuri mashabiki wa man u timu yetu ikizingua uwaga hatufichi tunachana wazi.View attachment 2717896
De gea mmoja ni sawa na Onana kumi...mnabisha mtaona wiki ijayo na Spurs....huna maana kabisa wewe, ulikua unatupondea De gea wetu mpaka ukafanya baadhi ya watu nao wakawa wanamtolea shombo humu, eti baada ya kuondoka ukawa unajifanya kutusikitikia kua tumepoteza bonge la kipa
Amekuja midfilder goal keeper (MG) nae eti ukaanza kuleta maneno yako ya kwenye kanga Arseyau we
Wewe hata huoni maandishi yake, muda wote ni man utd.
Huo ni upendo aliorothishwa na mzee wake....
Mzee khalfani joseph