Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mamluki kule si ndio rafiki zako , wanasema wamehama timu lakin Arsenal ikishinda wanalalamika ikifungwa wanalalamika,na mshehereshaji ni wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shida yako masingeli wewe hutaki kushindana na watu wenye hoja, mtu akija na maevidence pamoja na mavivid example ya kutosha unaanza kua mkali, unawapenda wale wapiga porojo tu na wale bendera hufata upepo kama kina Flano ambao kazi yao ni kukusapoti tu hata ukikosea.
 
Hapa mkuu nakuunga mkono na miguu yote kabisa.
Jana man utd tumeshinda ila mashabiki hatuna furaha kabisa sio kwa matokeo bali kiwango kibovu mno ambacho wachezaji wetu wamekionyesha, mechi ya jana tulistahili kupigwa hata goli 3 na kuendelea, sasa kwa mpira ule mashabiki wataachaje kulalamika hata kama tumeondoka na points 3?
 
Our FB nao hawapo tayari kwenda mbele zaidi ya uwezo wao (bidii).

Erik anataka fullback wawe inverted ili kuoverload eneo la kiungo.

Ukiangalia luke shaw, wan bissaka, na dalot hawapo comfortable kutimiza majukumu hayo.
Kwa ufupi ni kama hawaelewi roles zao ni zipi

Tofauti na wachezaji wengineo mfano timber, arnold, zinchenko.

Kwenye mechi za kirafiki niliona erik anajaribu kumtumia kobbie mainoo As FB kwenye buildup.

Maybe ameona uwezo wake hususan positional awareness alionayo ni ya kiwango cha juu

Mzizi wa matatizo yetu ni mkubwa sana.
Tunailaumu midfield kwa sababu ndio eneo rahisi kuonekana.

Hata kama tutasajili first phase mfano wa de jong bado tutaendeshwa mbio ikiwa majukumu yatabaki kuwa ni ya kwake tu.
 
Tulikua na midfielders ambao hawawezi kutunza mpira in Bruno na Case, Bado kocha kaenda kuongeza Mount tena ambae hawezi kama wenzie.

Sijui Ten hag anatengeneza nini, ngoja tuone.
Wakikusikia top reds una mdisi 7Hag utafukuzwa humu jukwaani
 
We jamaa kwann umemuita baba ubaya lakini? [emoji23] [emoji23]
 
[emoji16][emoji16][emoji16] hauoni hio ndonga yake jinsi inavyofanana na ndonga ya baba Ubaya.
 
Amrabat hawezi kuwa improve Man United.

Kama tulizidiwa na midfield ya Matheus Nunez na Lemina, tukikutana na mid ya Man city zamu hii tunapigwa kumi.
 
The officials for last night’s game between Manchester United and Wolves on Monday Night Football have been dropped for next weekend.

Referee Simon Hooper, video assistant ref Michael Sailsbury and assistant VAR Richard West have not been selected for a Premier League game in the second round of fixtures.

It comes after PGMOL and the officials were forced to apologise after not awarding Wolves a penalty late in the game at Old Trafford.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] hauoni hio ndonga yake jinsi inavyofanana na ndonga ya baba Ubaya.
Mkuu kwni ukini acknowledge kwa kuwa ni mm ndo nlompa hyo a.k.a kule kwny jukwaa letu utapungukiwa nn😅😅😅😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…