FundiMason Mount vs Wolves
0 goals
0 assists
0 chances created
0 crosses
0 tackles won
0 accurate crosses
0 aerial duels won
Neno moja kwake
If I speak.....Casemiro kachoka sana nadhani muda wa kula pensheni umefika.
Kuna moja alishindwa kabisa kunyanyuka aisee akatingisha na kichwa 😀If I speak.....
Alishanipa wasiwasi tokea mechi za kirafiki, ndio maana naimba wimbo wa AMRABAT
Sio uongo unachosema, pale pale OT Wolves katuzidi hadi shot on target, balaaNdg zng rudini sokoni.
Ipo siku isiyo na jina mtadharirika sana ipo siku zile 7 zinaweza kua ndg mnaweza kula double figures kwa mpr wenu huu wa kuunga unga.
Nasema ipo siku badilikeni.
Kbs ndg zng mpr mnaocheza ni mwepes sana badilikeni ipo siku mtakutana na dhahama mbaya sana ya karne.Sio uongo unachosema, pale pale OT Wolves katuzidi hadi shot on target, balaa
Msimpate asee,huyo mwamba anajua Sana ,Welcome to Manchester united, Roberto De Zerbi.
1/7/ 2024
Bado ningeletewa Arsenal simkataiMason Mount vs Wolves
0 goals
0 assists
0 chances created
0 crosses
0 tackles won
0 accurate crosses
0 aerial duels won
Neno moja kwake
Jamaa hajitumi anatembea huko mbele, hata wachezaji wengine unaona kabisa wanakata tamaa, Rashford ni kirusi, wengine wanaweza kubadili ila siyo RashfordYaani hakuna mchezaji hapo
Yeye lini atatuomba msamaha mashabiki kwa kupigwa 7-0 na Loserpool, kuruhusu man city kubeba treble wakati alikua na uwezo wa kulizuia hili kwenye fainali ya FA,Nasubiri mumuombe AWB msamaha..
Sio poaMason Mount vs Wolves
0 goals
0 assists
0 chances created
0 crosses
0 tackles won
0 accurate crosses
0 aerial duels won
Neno moja kwake
Anafanya vizuri kazi ya Jasusi la kidachiMason Mount vs Wolves
0 goals
0 assists
0 chances created
0 crosses
0 tackles won
0 accurate crosses
0 aerial duels won
Neno moja kwake
Weka 6 yoyote duniani kwa mfumo wa Jana angechemka, i hope hii ni wake up call kwa ETH no 8.5 wawili inaweza kutucost tukikutana na Timu inayojielewa 7 zinaweza rudi tena. Hawa Wolves ndio wanatabiriwa kushuka daraja ila Cunha alikua anapita tu katikati, kweupe kabisa.If I speak.....
Alishanipa wasiwasi tokea mechi za kirafiki, ndio maana naimba wimbo wa AMRABAT
Hii nilivyoiona tu kwenye mechi nilitegemea kukutana nayo mtandaoni. 😂
Man u siyo Brighton, De Zerbi ana ka upepo ambako alikuwa nako Graham Porter pale Brighton. Alishashusha timu daraja huyu hafaiMsimpate asee,huyo mwamba anajua Sana ,an
Humjui Di zerbi, usimfananishe na Potter ,hachezi kwa upepoMan u siyo Brighton, De Zerbi ana ka upepo ambako alikuwa nako Graham Porter pale Brighton. Alishashusha timu daraja huyu hafai
Ngoja nicheke.Humjui Di zerbi, usimfananishe na Potter ,hachezi kwa upepo