Acha kumwambia ukweli.suicide is realAiseee kweli nyani haoni kundule.
Yale maparachichi, mabilinganya, mastafeli , nyanya chungu, majani ya maboga na makabechi yenu yamewasaidia nini zaidi ya kutaka kuwashusha daraja?
Clean sheet sio makalio kwamba kila mtu anayoHuyu Onana ana cleansheet ngapi toka ajiunge Manchester?
Wenzetu facilities zinafanyiwa matengenezo kila msimu. Hasa pitch.Old Trafford is ready for the new season
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2707664
OyaOnana lazima wamtungue tena leo
Dakika ndio zinazidi kukaribia, fanyeni kujisogeza mapema kwenye vibanda umiza mpate kushuhudia burudani kabambe kabisa toka kwa vijana machachari wa 10Hag.Oya
Sema Leo wameweka kikos Kaz ,hapa tutajua wanaenda kugombea nn msimu ujao
Saa nane na dakika 45Mechi saa ngapi wakuu?
A Dutch David Moyes Erik 7 hagDakika ndio zinazidi kukaribia, fanyeni kujisogeza mapema kwenye vibanda umiza mpate kushuhudia burudani kabambe kabisa toka kwa vijana machachari wa 10Hag.
Unaambiwa kuna hospitali nyingine sasa hivi wameacha kutoa dawa, wagonjwa mahututi wanaandikiwa tu dozi ya kutazama game za Man utd kwa wiki mara mbili na wanapona.
Wanasayansi wameanza kufuatilia kwa kina kuna uhusiano gani wa kuangalia game za Utd na kupona maradhi tena mpaka yale sugu.