Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yani Onana kwakweli hamna kipa pale goli kipa yoyote aliye serious na kazi yake lazima zile goli mbili atoe save hata moja kama ile tikitaka hata kipa wa Kitayose fc anadaka.
 
Acha siasa wewe
Kama ni nyuma ya aseno na msimu 2021/2022 utasemaje aseno alituacha point 8+ licha hakuwepo wala nini ...Msimu jana katuacha point 9+
Umesahau kwamba msimu huo timu ilifukuza kocha ikaajiri director of football kuwa kocha ?

Wachezaji wengi walishuka morali sana.
 
Wasome wenye timu yao wenyewe
Ndio maana nikasema hamna akili hiyo kauli alitoa kabla ya mechi acheni kuvamia nukuu bila kufuatilia zaidi mtatia aibu siku moja.

Eti wenye timu yao wapi imeandikwa timu ni ya Andy Cole au kuwa legend ndio unakuwa unajua majukumu ya kocha,hao ni waropokaji kama akina Gary Neville na Roy Keane huku


Legends wetu wanaojua soka ni Rio Ferdinand
 

Kukandwa na maji ya baridi sio poa, leo hii Cole hajui mpira 🤣 🤣 🤣
 
Kukandwa na maji ya baridi sio poa, leo hii Cole hajui mpira

Ndio maana nikasema huna akili


Sizungumzii mpira wa kucheza hapa kwa yeye kama huko nyuma nazungumzia management na reality mfano hao akina Neville walikuwa wanajua wa kucheza tu kufundisha ziro wamechapika sana kama makocha huku wao full kuwaponda makocha wengine na kazi hawaiwezi
Nafuu ya Rio anatuliaga hawezi kujifanya mjuaji kuliko kocha yoyote.

Point ipo hapa mpe timu hata huyo Cole kama hafukuzwi ndani ya game 10 tu.


Usipoelewa rudi utotoni kanyonye
 
Mbona lugha zisizo na staha zenye matusi zimejaa hili jukwaa? Shida nini vijana
Kuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,
 
Kuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,
Kuna changamoto ya malezi kwa vijana wa kisasa
 
Kuna wapuuzi wamevamia jukwaa juzi tu hapa wamefanya jukwaa ni lao, ukiwa na mawazo tofauti unaitwa mama na kauli zingine za kutu disvalue, tupo humu ndani toka kipindi cha moyes, na wapuuzi kama hawa huwa wanakuja na kuondoka wanatuacha,
Shabiki wa timu pinzani akiongea negative tunachukulia kama challenge ila fellow mwenzetu hatuwezi vunga.

Haiwezekani kila siku mtu upo negative tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…