Chelsea kabla ya 2005 ilikuwa timu ya kushika nafasi 5-10Back 2005 kwamba wanakuja kutishia tena amani EPL ama
PogbaWho's the first player that comes to mind when you see the 2020/21 away shirt?
Me:- CAVANI
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2696232
Tumia hii app mkuuMkuu Chief-Mkwawa, heshima yako
Naomba nisaidie link kwa ajili ya kustream
Ander hereraWho's the first player that comes to mind when you see the 2020/21 away shirt?
Me:- CAVANI
#ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨πππ
#ππ£ππ©ππππ€π§π©πππππ£π¨
#πππππ ππ ππ¨π¨ππ’ππ£πΌπ©πππ£ππ©π
#ππ‘ππ―ππ§πππ
#ππππ
man utd |View attachment 2696232
Hatuna uwezo wa kumbeba Mbappe kwa sasa hadi timu hizi Man City,Newcastle na Real Madrid na kidogo Chelsea wanaweza kujitutumua bosi wao mkwanja anamwaga tu.
Zaidi ya hapo kama ataondoka bure mwakani sipati picha vita ya kumpata ndani utawakuta hizo timu juu na Arsenal ndani.
2020/2021?..?Ander herera
Mutv kama una app ya IPTV easyTunacheki wapi game yetu na arsenal. Link?
Angalia sub za Arsenal hata tukiweka hao bado utasema ni strong teamSaafi upara kaweka vitoto vikina Maiono mean while Arteta kaweka kikosi cha UEFA upara mtu sana
Kenge na Kenge wenzako acheni kulialia mapemaVitoto ni vyote
Kipa anatoka U21 uko
maino uko U21
Gernacho U21
Bado unauliza watoto wangapi wakati team yako imeweka kikosi cha Uefa