Japo ni mtoa maboko hii si alishaifafanuaLike I said siku zote , Grazzer wanacheza na akili za mashabiki wa manjesta
Walifanya hivo mwaka Jana na mwaka huu wanafanya hivo
Wale madalali wa Sheikh Jasim kina Flano Forgotten na wengine Timu haiuzwi hii
BREAKING!
The Glazer family will still be in control of #mufc when the Premier League season starts
[@MikeKeegan_DM]-Tier 1
Wanagoal na assist ngapi tuwalinganishe kwa statistics..Hii ni list ya winga bora kuliko Rashbeck lakini wanalipwa kidogo kuliko huyu pepe wa kingereza
Vinicius Jr
Rodrygo
Rafael Leao
Diogo Jota
Luis Diaz
Grealish
Foden
Federico Chiesa
Kingsley Coman
Hojlund anakusalimu. Nyie tunawakanda home and away msimu huu. Huku Rashford huku Antony mbaya wenu.Liverpool anauza fabinho na Henderson, anahaha kupata DM, anategemea hasa form ya salah miaka 33 ambaye alishaonesha kushuka ,factors Kama hizi muwe mnaziangalia mnapoziweka timu kwenye ubingwa ,sio baadae mnakuwa surprised ,mwaka Jana sikuwa shocked na Liverpool kuchechemea ,
Manjesta una mbadala wa casemiro ambaye suspension,injury zikitokea ?
Una mbadala wa Rashford , na CF?
Msiropoke tu kuweka timu kwenye title race bila ku count some factors
Kile kikos Cha Chelsea ,Gaby Agnobo kasema hata nafasi 10 waitafute
Anthony mech ya pili pale Emirates ulimuona?Hojlund anakusalimu. Nyie tunawakanda home and away msimu huu. Huku Rashford huku Antony mbaya wenu.
Mnapenda kutafuta vichakaShida ni lile goli aliowapiga.
Hilo lipo wazi Antony hafai kuwa first 11 ni hasara kwa namba 9 wetu mara mia kocha ampe nafasi Diallo ama Pellistri ikiwezekana Emeran pia anaonekana kuwa na vision kuliko Antony.Mnapenda kutafuta vichaka
Ukweli pale hakuna mchezaji ,ni moja ya sajili ya kitapeli kuwahi kutokea
Mliwapa presha Grazzer kuuza timu wakatoa €100m haraka kutuliza ghasia ,ila awali kabisa mngemnunua hata kwa €30m
Tajiri huwa hapangiwi matumizi na masikini mkuu, hivi kweli Arsenal ni wakumpangia matumizi utd?Mnapenda kutafuta vichaka
Ukweli pale hakuna mchezaji ,ni moja ya sajili ya kitapeli kuwahi kutokea
Mliwapa presha Grazzer kuuza timu wakatoa €100m haraka kutuliza ghasia ,ila awali kabisa mngemnunua hata kwa €30m
Hapo nimepanga matumizi au naelezea kilichotokea had anapatikana huyu jamaaTajiri huwa hapangiwi matumizi na masikini mkuu, hivi kweli Arsenal ni wakumpangia matumizi utd?
Kijana hapa ni either Glazers wanabaki na timu ama wanaiuza kwa Sheikh Jassim.Sir Jim anakaribia kuchukua timu ,ni habari nzuri hii inatia moyo
Manchester United takeover:
Sir Jim Ratcliffe's fellow Ineos chief Sir Dave Brailsford insists they are 'very keen' to complete purchase - amid fears the Glazers won't sell
@MikeKeegan_DM
Hawa jamaa watie wino mapema team aichukue MwarabuKijana hapa ni either Glazers wanabaki na timu ama wanaiuza kwa Sheikh Jassim.
Members wanne wa familia tayari wametia saini bado Joel na Avram tu
Acheni kushobokea picha za kutengenezwa na wapumbavu waliofanya hata Sancho atukanwe kisa picha za uongo tuTunautaka ubingwaView attachment 2694737
Jamaa kanenepa hata kama picha zimetengenezwaAcheni kushobokea picha za kutengenezwa na wapumbavu waliofanya hata Sancho atukanwe kisa picha za uongo tuView attachment 2694769View attachment 2694767View attachment 2694768