Ngoja tusubiri abaki na kikosi alichokitengeneza yeye tuone.Casemiro was a panick buy baada ya kumkosa FDJ, alishawahi kumtaka Timber wakati tayari tuna Martinez.
ETH is overrated
Baada ya kumkosa timber ndio akageukia kwa lisandro martinez.alishawahi kumtaka Timber wakati tayari tuna Martinez.
Overrated ila makocha wenu ndio overrated pro maxCasemiro was a panick buy baada ya kumkosa FDJ, alishawahi kumtaka Timber wakati tayari tuna Martinez.
ETH is overrated
Hao ni mashosti tu kocha kuchukua former players wake sio shida kikubwa waperform.Baada ya kumkosa timber ndio akageukia kwa lisandro martinez.
Ni kweli mmefuliaUpdates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,
Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Kinachosabaisha sio Inter ni financial fair play.Updates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,
Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Bado tunarudi pale pale kuwa EtH anataka kuifanya united kama kituo cha wachezaji toka ligi ya uholanziBaada ya kumkosa timber ndio akageukia kwa lisandro martinez.
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.Bado tunarudi pale pale kuwa EtH anataka kuifanya united kama kituo cha wachezaji toka ligi ya uholanzi
Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brotherAcha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.
Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.
Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena
Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu
So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.
Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Eeh kaletwa na ETH na sio ajabu hiyo kitu mbona Pep ana Wahispania pale City.Hakuna team ronaldo humu, yule ni legend wa timu tunampenda sote....lkn namba hazidaganyi mholanzi ni mmoja malacia tu ndio kaletwa na Ethan, so watu acha waseme japo wana ongea uongo...relax brother
fake newsUpdates
Man Utd wanaangalia uwezekano wa kumsajili kipa mwingine baada ya kuona Inter Milan wanatamka bei kubwa kwa Onana,
Je hii ni mbinu ya Utd kuwafanya inter washushe bei au ni kweli tumefulia ?
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.
Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.
Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena
Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu
So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.
Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
Acha upumbavu kuna Waholanzi wangapi kawasajili zaidi ya Malacia na VDB ambaye kamkuta na anakaribia kusepa.
Hata akiwa Ajax alikuwa hana kawaida ya kutumia Waholanzi kwenye first 11 yake ukikuta wengi ni 3/4.
Ni changamoto ya timu yetu kukataliwa na kila wachezaji ndio inasababisha hivyo ushawishi hakuna tena
Nataka tu niseme kitu kimoja utafiti wangu unaonesha mashabiki wa United wanaomchukia Ten Hag ni mashabiki wa Ronaldo bado wanaumia namna GOAT wao alivyoshikishwa adabu
So nenda kalie mwehu wewe hama timu kama hutaki kumuona ETH hadi pale atapofukuzwa ndio urudi.
Mashabiki wa United wanaojua mpira wanaelewa impact ya ETH nyie plastic fans kashabikieni rede tu au mfuateni jamaa yenu Al Nassr
toka ligi ya uholanzi
Van De Beek msimu ulioisha hata game 5 hajafikisha acha uongo.Unless by the time unasoma post yangu ulikua umekalia kitu chenye ncha kali.
Nimesema wachezaji toka ligi ya uholanzi sijasema waholanzi, na katika sajili zote alizofanya EtH ni Sabilzer na Casemiro ndio hawajapitia ligi ya uholanzi.
Casemiro sababu ya kumkosa FDJ (mholanzi)
Sabilzer sababu ya kuumia kwa DvB (mholanzi)