Grazzer hawawez kuachia timu kirahisi hivo, manjesta Ni chanzo kizuri Cha Pesa za bwerereGlazers ni washenzi sana aiseeh, sikutegemea kuona wakiifanya biashara kuwa ngumu kiasi hicho.
Modern football imehama kwenye hardwork na kukusanya talents na kuziweka zifanye kazi,Tangu kuondoka Fergie misimu ya United huwa inaisha pale dirisha la usajili linapofunguliwa. Kwanza msimu mzima tunakuwa hatujatambua machaguo ya wachezaji wa kuwaongeza kikosini na wale wa kuondoka,inatokeaga kama bahati tu. Ikitokea mashabiki wamepiga kelele sana anatafutwa staa aliye ukingoni au reject ya timu yake sisi mioyo inaburudika kugombea top 4!
2013 ni muongo mmoja tayari umekwisha na hawa Glazers wamedhamiria biashara zaidi kutoka kwenye hii fan base ya united.
Habari zake zimefikia wapi mkuu?Sofyan Amrabat.
Tunamtaka sheikh jassim pale old t.Grazzer hawawez kuachia timu kirahisi hivo, manjesta Ni chanzo kizuri Cha Pesa za bwerere
Wanataka mtu ambaye watagawana share , hii kusema wanauza timu walikuwa Wana beep tu,
Grazzer kinachowafelisha sio wajanja kwenye soka , wangetafuta Experienced DOF wangemuweka pale Wala wasingepigiwa kelele
Tatizo la manjesta Ni management tu , Ndilo lililoitafuna Chelsea msimu ulioisha ,msimu huu Toddy kakaa pembeni ,
€650m kazitupa chooni
Grazzer family nikionacho watakuja kuvamiwa , pressure ya mashabiki wa Manchester Ni kubwa Sana , huwa wanaandamana kabisa na kufunga mitaa , Kuna baadhi ya mashabiki wameanzisha na timu yao kabisa inaitwa UNITED OF MANCHESTER
Jana ameupiga mwingi sana,Habari zake zimefikia wapi mkuu?
Kazi kwelikweli, au jamaa hawakuwa na nia ya kuuza timu!!Sir Jim kashinda hii Vita Muda wowote mtatangaziwa
Anaenda kupewa timu Kama Chawa
Grazzer family wataendelea kuiendesha timu kwa Remote
NEW: Sir Jim Ratcliffe is on the brink of being successful with his strategy of buying Manchester United with a deal likely to be clinched this month.#MUFC
(via @Millar_Colin,@MirrorFootball)
Yah hawana hiyo nia ila wanafanya kiini macho , wamemtafuta mpambe wao Sir Jim Kama Chawa , ndiye atapewa kipaumbeleKazi kwelikweli, au jamaa hawakuwa na nia ya kuuza timu!!