mtzmweusi JF-Expert Member Joined Apr 20, 2013 Posts 8,698 Reaction score 9,051 Jun 3, 2023 #188,901 DAEMUSHIN said: Miguu ya DIARRA ipo Tanzania, miguu ya DE GEA ipo Uingereza. Inasikitisha sana Click to expand... De gea ni mzigo kwa united
DAEMUSHIN said: Miguu ya DIARRA ipo Tanzania, miguu ya DE GEA ipo Uingereza. Inasikitisha sana Click to expand... De gea ni mzigo kwa united
D A E M U S H I N JF-Expert Member Joined Dec 15, 2015 Posts 22,633 Reaction score 121,022 Jun 3, 2023 #188,902 mtzmweusi said: De gea ni mzigo kwa united Click to expand... Nashangazwa na hiki ninachokiona kupitia DIARRA wa Yanga. Ni mtulivu sana
mtzmweusi said: De gea ni mzigo kwa united Click to expand... Nashangazwa na hiki ninachokiona kupitia DIARRA wa Yanga. Ni mtulivu sana
NtYga JF-Expert Member Joined Aug 23, 2018 Posts 4,945 Reaction score 12,695 Jun 4, 2023 #188,903 adriz said: Ila Sancho kalegea sana na kakosa umakini kabisa. Click to expand... Na hapo alikuwa individual training sijui alikuwa anafanya nini kule, nikikumbukaga napatwa hasira tu .
adriz said: Ila Sancho kalegea sana na kakosa umakini kabisa. Click to expand... Na hapo alikuwa individual training sijui alikuwa anafanya nini kule, nikikumbukaga napatwa hasira tu .
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,393 Reaction score 59,137 Jun 4, 2023 #188,904 Poleni man u😂😂
anti-Glazer JF-Expert Member Joined Apr 13, 2023 Posts 291 Reaction score 484 Jun 4, 2023 #188,905 British player ni hovyo
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,178 Reaction score 73,982 Jun 4, 2023 #188,906 Slowly said: Mnawaonea wachezaji bure kufungwa 2:1 wamejitahd , ni timu gan duniani hapa msimu huu inaweza simama dhidi ya mancity ? Ni mwehu tuu anayeweza wahukumu wachezaji Kwa kipigo cha Leo Click to expand... Ila nyinyi bwana Arsenal mkaisakizia ila nyinyi mnadai hakuna timu inayoweza au siyo? Anyway, Brentford juzi tu hapo ilimsimamisha City. United alienda na ile game plan ya kupaki basi na counter. Shida hata mpira mkawa hampati. Na back 3 inafanya back line iwe static muda mwingi. Tatizo likawa hilo
Slowly said: Mnawaonea wachezaji bure kufungwa 2:1 wamejitahd , ni timu gan duniani hapa msimu huu inaweza simama dhidi ya mancity ? Ni mwehu tuu anayeweza wahukumu wachezaji Kwa kipigo cha Leo Click to expand... Ila nyinyi bwana Arsenal mkaisakizia ila nyinyi mnadai hakuna timu inayoweza au siyo? Anyway, Brentford juzi tu hapo ilimsimamisha City. United alienda na ile game plan ya kupaki basi na counter. Shida hata mpira mkawa hampati. Na back 3 inafanya back line iwe static muda mwingi. Tatizo likawa hilo
Bachelor ll JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 4,103 Reaction score 6,698 Jun 4, 2023 #188,907 Jasusi Ten Hag akiachana na operation yake ya kuifilisi MANCHESTER United ni kocha mzuri game plan ya jana ilikuwa nzuri city hawakuwa hatari kivile (Magoli ya city yalikuwa ni juhudi binafsi na ujanja wa wachezaji) Bruno aletewe Kane atatisha
Jasusi Ten Hag akiachana na operation yake ya kuifilisi MANCHESTER United ni kocha mzuri game plan ya jana ilikuwa nzuri city hawakuwa hatari kivile (Magoli ya city yalikuwa ni juhudi binafsi na ujanja wa wachezaji) Bruno aletewe Kane atatisha
Bachelor ll JF-Expert Member Joined Dec 15, 2019 Posts 4,103 Reaction score 6,698 Jun 4, 2023 #188,908 Diarra ana confidence saana kuliko De gea
verifaidi yuza JF-Expert Member Joined Sep 13, 2018 Posts 3,127 Reaction score 6,179 Jun 4, 2023 #188,909 DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule
verifaidi yuza JF-Expert Member Joined Sep 13, 2018 Posts 3,127 Reaction score 6,179 Jun 4, 2023 #188,910 NtYga said: Na hapo alikuwa individual training sijui alikuwa anafanya nini kule, nikikumbukaga napatwa hasira tu . Click to expand... Alikua anapiga nyeto, wewe ulitaka afanye nini?
NtYga said: Na hapo alikuwa individual training sijui alikuwa anafanya nini kule, nikikumbukaga napatwa hasira tu . Click to expand... Alikua anapiga nyeto, wewe ulitaka afanye nini?
Song of Solomon JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 2,751 Reaction score 5,623 Jun 4, 2023 #188,911 Bachelor ll said: Diarra ana confidence saana kuliko De gea Click to expand... Exactly
Song of Solomon JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 2,751 Reaction score 5,623 Jun 4, 2023 #188,912 verifaidi yuza said: DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule Click to expand... Jana kanifanya nimchukie mazima takataka yule
verifaidi yuza said: DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule Click to expand... Jana kanifanya nimchukie mazima takataka yule
FK21 JF-Expert Member Joined May 27, 2019 Posts 8,924 Reaction score 11,305 Jun 4, 2023 #188,913 verifaidi yuza said: DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule Click to expand... Wewe je
Ngongo Platinum Member Joined Sep 20, 2008 Posts 21,179 Reaction score 37,475 Jun 4, 2023 #188,914 De Gea hata Europe katu cost sana. Ningekuwa Mwl ningeanza na kipa,mlinzi wa kati,Kiungo wa uhakika (Rice) na mshambuliaji anayeweza kutupatia goal 15 to 20s. Kwa hakika msimu huu si mbaya,wachezaji wamejitahidi sana Mwl na Team nzima wametuheshimisha. Mechi yetu na City imetoa mwanga mzuri wapi pa kurekebisha. Wapo baadhi ya wachezaji ambao wakiuzwa wanaweza kutunisha hazina yetu na kutuongezea nguvu ya kusajili. Hongera sana Man Utd.
De Gea hata Europe katu cost sana. Ningekuwa Mwl ningeanza na kipa,mlinzi wa kati,Kiungo wa uhakika (Rice) na mshambuliaji anayeweza kutupatia goal 15 to 20s. Kwa hakika msimu huu si mbaya,wachezaji wamejitahidi sana Mwl na Team nzima wametuheshimisha. Mechi yetu na City imetoa mwanga mzuri wapi pa kurekebisha. Wapo baadhi ya wachezaji ambao wakiuzwa wanaweza kutunisha hazina yetu na kutuongezea nguvu ya kusajili. Hongera sana Man Utd.
Wild sniper JF-Expert Member Joined Apr 3, 2015 Posts 4,426 Reaction score 8,726 Jun 4, 2023 #188,915 Wacha nione usajili na wachezaji wataobaki ndo nitajua 10hag anataka nini msimu ujao kwa sasa siwezi mhukumu sana msimu ujao ndo tutamkaanga vizuri honeymoon imeisha rasmi jana.
Wacha nione usajili na wachezaji wataobaki ndo nitajua 10hag anataka nini msimu ujao kwa sasa siwezi mhukumu sana msimu ujao ndo tutamkaanga vizuri honeymoon imeisha rasmi jana.
shakwenya Senior Member Joined Mar 5, 2017 Posts 177 Reaction score 303 Jun 4, 2023 #188,916 Ipo wazi PUNGUZENI MATARAJIO msimu ujao na usajili utakao fanyika hauto saidia ss kuchukua kombe lolote tutaleta tu upinzani mkubwa GGMU
Ipo wazi PUNGUZENI MATARAJIO msimu ujao na usajili utakao fanyika hauto saidia ss kuchukua kombe lolote tutaleta tu upinzani mkubwa GGMU
Al Watani JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 21,697 Reaction score 32,447 Jun 4, 2023 #188,917 verifaidi yuza said: DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule Click to expand... Sema jana tulicheza laini laini sana. Timu zinazomfunga Man City ni zile zinazokuwa aggressive sana
verifaidi yuza said: DDG nae mpiga nyeto tu mbwa yule Click to expand... Sema jana tulicheza laini laini sana. Timu zinazomfunga Man City ni zile zinazokuwa aggressive sana
Will Jr JF-Expert Member Joined Jul 21, 2018 Posts 5,077 Reaction score 7,420 Jun 4, 2023 #188,918 Kumfunga Sevilla sio kwa kila timu.
Will Jr JF-Expert Member Joined Jul 21, 2018 Posts 5,077 Reaction score 7,420 Jun 4, 2023 #188,919 FA cup sio kwa kila kocha wazee.
hamis77 JF-Expert Member Joined Aug 20, 2013 Posts 18,285 Reaction score 26,683 Jun 4, 2023 #188,920 Arsenal & Man City will clash in the Community Shield to kick off the 2023/24 PL season Manjesta fans will watch it on TV, to support Man City
Arsenal & Man City will clash in the Community Shield to kick off the 2023/24 PL season Manjesta fans will watch it on TV, to support Man City