Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aahh kmmk ten hag ni kijana 🤣🤣🤣

Ujana mwisho miaka mingapi wakuu 🙌🏾🙌🏾
Kwenye soka ukiwa mchezaji ukifika 30s unakuwa considered kama mzee.

Ukiwa kocha kwenye early 50s unakuwa considered kama kijana.

Imeshazoeleka hivyo kwenye football ila haina uhusiano na umri. 30s kwa mchezaji ndiyo career yake inaenda uzeeni na 50s kwa kocha ndiyo wengi wanaanza career ya ukocha.

Ila EtH ni mzee ni kazi tu inamfanya aitwe kijana. 😂
 
Ila sometime jamani tujiulize tu hivi kweli mnaona timu yetu ina striker kweli pale Yani Mimi sioni kama tuna striker.

Ukiangalia takwimu za viungo pale England Bruno ndo kiungo aliyetengeneza nafasi nyingi sana za mabao kuliko kiungo yoyote lakini mabao hakuna.

Kiukweli sisi tatizo kubwa sana lipo mbele maana kufungwa hizi goal 1/2 mbona kila timu inafungwa unaona tuna angushwa sana na forward yetu kuliko chochote.
 
Hatuwezi kufunga magoli muda mwingi hatuna mpira tunakimbia kuutafuta.

Hata hivyo hatuna striker tunategemea wide foward kama Rashford na Sancho, wakati mwingine wingers wanakuwa wamekabwa sana timu nyingi hazina wasi wasi wakicheza na sisi hatupati goals kupitia Angle C mara nyingi ni goals za pembeni kwa Rashford na Sancho au Anthony kiasi kulia.

Tuna striker mrefu lakini hatupigi cross kwa sababu ya uchoyo wa wide forwards wetu.

Sasa hivi ndiyo tunacheza on pure off vibes.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…