Manchester United (Red Devils) | Special Thread

View attachment 2598967
Bila ya huyu mjinga hatutoboi kwa mechi zilizobakia.

Nimekaa pale nawasubiria wabwatukaji na hoja zao
Inafikia kipindi inabidi tumpe sifa zake 10Hag hadi hapa tulipofikia. Man utd ina ufinyu wa kikosi kiasi kwamba akikosekana mchezaji mmoja tu wa kikosi cha kwanza,timu nzima inakosa uwiano mzuri uwanja iwe kwenye beki (martinez),kiungo (casemiro) au ushambuliaji (rashford na/au Bruno).

Hii timu inahitaji wachezaji sio chini ya 8 ili mwakani mwalimu asipate shida kama hizi.
 
si alipewa ela akaishia kumsajil antony kwa 100 na magarasa wengne astahili sifa uyo n nyumbu anawang'ata na kuwapuliza oleguna alishawah kua namba2 na kikos cha elanga
 
Eric ten ni jasusi bobezi la Dutch government hapo MANCHESTER United lengo ni kuchota mipesa hapo unyumbuni na kuipeleka udachini
 
Captain Maguire kisiki ukuta wa Berlin ameshalishutia hilo jasusi la Ajax hapo MANCHESTER United ten hag
 
Manchester United is playing today and whole world is happy


Prediction

Tottenham 0 vs Manchester United 3

4:15 night

White Hart Lane

Last match

Manchester United 2 vs Tottenham 0

Pigaaaaa
Uaaaaaaaa
Malizaaaaaa
Chinjaaaaaaa



Kama unaona Tottenham hatashinda mbetie hela ya mtaji.

GGMU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…