Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi na Sevilla tungeweza kushinda vizuri tu kama makosa mawili ya wale mabwana yasingetutoa mchezoni.
 
Kuna watu walikuwa wanasema EtH ni kocha wa kawaida tu kwasababu ligi aliyotoka kocha yoyote akipewa Ajax anabeba ligi.

Leo Ajax wanapokea kipigo kizito kutoka kwa PSV na huenda wakakosa Champions League msimu ujao.

Hiyo ni tofauti ya mwaka mmoja tu tayari Ajax wamepoteana.
 
Kila kocha mpya hua anakuja na falsafa yake pia hao Ajax wameuza wachezaji wangapi tegemezi kwenye kikosi chao cha kwanza?
 
Toa Erickson weka Fred. Naona Sabitzer anapasha kule nje, huyu kocha anataka kutuletea majanga tena.
 
Tutoe maoni kama GGMU sio unafki,
Sasa mtu anasema "sijui tunakicheza nini" ndo kauli gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…