Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bei ya Antony ni 12 pauni
 
We na uyo Fred wako, daily Fred this Fred that, mchezaji mwenyewe ni average player unatupigia kelele tu.
 
Wakati cr7 anachopukia pale utd mashabiki wengi wa Ass'anal walikuwa wanamchukia sana na kusema anakimbia kimbia hovyo, lkn miaka michache iliyofuata walikaa kmy, so ukiona adui anakuchukia juwa kwamba upo vzr ila ukiona anakusifia inapaswa ujiulize umekosea wapi.
 
Hamna mchezaji humu, man u inafuga sn majibwa ndiyo maana timu inayumba sn, mchezaji kama huyu hata bunley hapati namba lkn man u anacheza na analipwa mshahara mkubwa sana.
 
Sema Huyu Halaand Hana Adabu Ameamua Kabisa Kushindana Na Club Badala Ya Wachezaj Wenzake.


Halaand_30
Chelsea_Magoli -2
Manchester United_Magoli 7
 

Orkun Kökçü - feyenord​


Yule muandishi tier 1 kwa habari za feyenord anasema man utd wanamnyemelea huyu bwana

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…