Sasa mbona unanitole mihasira yako mimiWewe ni mbwakoko Barcelona ya Messi ilikula 8 dhidi ya Bayern Munich tatizo lako huna akili mjinga wewe
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Mambo ya msingi ya kupigwa 7 nunge?????hawa madogo muwe mnawapuuzia msiwajibu, ili tujadili mambo ya msingi.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
man u tunahitaji striker aina ya harry kane, pia rashford inabid aboreshewe mkataba yule jamaa ni hatariMambo ya msingi ya kupigwa 7 nunge?????
Hakuna la msingi lolote mnalojadili hapa ni kujaza seva za jf tu
Kim min Jae anaweza kumweka benchi nani pale Man United kwa wachezaji waliopo ?man u tunahitaji striker aina ya harry kane, pia rashford inabid aboreshewe mkataba yule jamaa ni hatari.
Tunahitaji def mid aina ya casemiro au hata de jong atatusaidia sanaakiongezeka na greenwood upande wa kulia ni nomaa sana.
inabidi tupate na kisiki kimoja cha kati yule jamaa wa napoli anafaa
orodha ya wachezaji wanaowindwa na man utd majira ya joto.
.harry Kane
.v osimhen
.m mount
. f de jong
.m mount
Unyamaaaaaa
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kama mnataka kwenda next step ,Basi backline ya Manchester anatakiwa kubaki Lisandro na Luke Shaw tuKim min Jae anaweza kumweka benchi nani pale Man United kwa wachezaji waliopo ?
Hizi mechi ngumu ndiyo huwa tunafanya vizuri.Jumapili away vs Newcastle..Tough one
Hizi mechi ngumu ndiyo huwa tunafanya vizuri.
Vipi kuhusu Degea , Ni Kama hamjajiandaa maisha bila Degea ndio maana hata mkataba nyie ndio mnalazimishaAPRIL IMEINGIA
David de Gea: “Nine games in one month is a lot, I think we’re playing a lot of games, but that’s football right now.” [MU]
Bure kabisa hii timu.huyu mpumbavu akibaki manchester united msimu ujao, rasmi nitahamia FULHAM
Manchester United are expected to re-evaluate Scott McTominay’s situation after rejecting Newcastle’s approaches in the summer.
Tutarudi hapa Iyo keshoHizi mechi ngumu ndiyo huwa tunafanya vizuri.
Middle ya dunia iyo wewe kuwa na heshimaBure kabisa hii timu.