Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anachoogopa hamis77 na wenzake ni kwamba akichukua muarabu timu itarudi enzi za Ferguson na pengine kuzidi kabisa hivyo tabu yao itarudi pale pale
 
Anachoogopa hamis77 na wenzake ni kwamba akichukua muarabu timu itarudi enzi za Ferguson na pengine kuzidi kabisa hivyo tabu yao itarudi pale pale
Hapana bhana ,Kuna kura zilipigwa na mashabiki wa Scandinavian nadhan aliongoza Sir Jim na Kuna mashabiki wengi wa Manjesta


Mm hoja yangu huwa mpaka leo hakuna mashabiki wa Manjesta huwa wanajibu na sijui kwanini


Ukweli Ni kwamba Graza wamekuwa wakitoa pesa Sana tu hata Kama zinatoka ndan ya manjesta humo humo , record zinaonesha hawatofautian Sana utoaji pesa na Kina Mansoor pale city

Why mancity ipo pale na manjesta ipo hapa?

Jibu Ni recruitment mbovu

Kwahiyo hata akipewa timu Muarabu au Mansoor angeinunua Manjesta Kama recruitment Ni hii inayotoa €100m kwa Anthony, €80m Sancho,.n.k haizingatii falsafa ya timu Basi hata Muarabu mtaona anazingua

Mimi siogopi manjesta akiichukua Muarabu ,nitaiogopa manjesta siku nikiona Wana Recruitment yenye watu wa soka wenye mrengo mmoja , Sporting director mwenye jicho la vipaji, sion hag anamleta Anthony kwa €100m , uongozi unamleta Casemiro ,

Maana kwa Muarabu hatutaona kipya kwenye Usajili ,kipya itakuwa miundombinu tu

Unaweza kusema manjesta mnamleta Muarabu sababu mlishindwa kusajili wachezaji wa €100m?
 
#mufc’s April fixtures:


Newcastle (A)
Brentford (H)
Everton (H)
Sevilla (H)
Nott'm Forest (A)
Sevilla (A)
Brighton (N)
Tottenham (A)
Aston Villa (H)

27 potential points. How many can United get?


@ManUtd_Uk
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Ralf Rangnick: “Sabi's performance was outstanding [vs Azerbaijan]. He’s simply a player with a lot of quality. I think the change [loan move to Man Utd] did him good. He is literally flourishing, is very, very good. He has a lot more confidence than when he was at Bayern.”

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Kwn huyu ni forward huko kwao?
 
Sofyan Amrabat’s brother Nordin: “I can name three clubs who were concrete in the last two or three days of the transfer window”.


“Manchester United wanted a loan with an option to buy deal, Fiorentina rejected”.

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Bruno Fernandes, minutes played in 2023:

3 Jan | vs Bournemouth (90 mins)
6 Jan | vs Everton (90 mins)
14 Jan | vs Man City (90 mins)
18 Jan | vs Crystal Palace (90 mins)
22 Jan | vs Arsenal (90 mins)
25 Jan | vs N.Forest (90 mins)
28 Jan | vs Reading (68 mins)
1 Feb | vs N.Forest (90 mins)
4 Feb | vs Crystal Palace (90 mins)
8 Feb | vs Leeds (90 mins)
12 Feb | vs Leeds (90 mins)
16 Feb | vs Barcelona (90 mins)
19 Feb | vs Leicester City (90 mins)
23 Feb | vs Barcelona (90 mins)
26 Feb | vs Newcastle (90 mins)
1 Mar | vs West Ham (90 mins)
5 Mar | vs Liverpool (90 mins)
9 Mar | vs Real Betis (90 mins)
12 Mar | vs Southampton (90 mins)
16 Mar | vs Real Betis (68 mins)
19 Mar | vs Fulham (90 mins)
23 Mar | vs Liechtenstein (89 mins)
26 Mar | vs Luxembourg (75 mins)

82 days, 23 appearances, 2010 minutes played.

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Bruno Fernandes for club and country (2022/23):



️ 15 goals
16 assist

#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Mdomo wake unafanya wengi waone Kama kaonewa ,ila amestahili kufukuzwa ,alimaliza top 4 akaongezewa pesa akasajili wachezaji wazuri had January alikuwa ameshatumia £200m na wachambuz walisema atakuwa Title contender , Cha ajabu timu inacheza counter attack tu,ili Hali ina wachezaji wazuri wakufanya attacking ,kaua vipaji vya Richalrson & son,n.k wamekuwa ovyo sababu ya mfumo mbovu wa uchezaji.

Halafu analaumu wachezaji.

Kwa Mara ya kwanza Dany levy amefanya maamuzi sahihi kumtimua Conte

Bado nasisitiza mpira wa kupaki bas uliowapa mafanikio Mourinho,Conte , Simeone kwa modern football umepitwa na wakati , utakusaidia kwa miez miwili mitatu tu.

Wachambuz walivyo wanafiki walimpa title contender Conte ,Sasa hivi wanasema Levy ndio anashida
 
Vipi sisi tusiopenda mpira wa mbwembwe nyiiingi kuliko counter attacks football matokeo tu, unatusaidiaje Shabiki kindaki ndaki la Arsepimbi?

Au hujui kuwa Watu tuko zaidi ya B 8 duniani kasoro M 200, kwanini tufanane kupenda soka la aina 1?
 
Tottenham Wazee wengi sana kuliko Vijana l, wasafishe walete makinda kama ilivyofanya Chelsea FC la sivyo Kocha hata akiwa Malaika bado tu hawatachukua vikombe zaidi ya kumfukuza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…