Leo wamelambishwa asali.Hivi hii Liverpool imetufungaje 7?
Wabovu wapo namba 3 na wazima wanafungwa na kibonde bornamouthSababu nyie ni wabovu Wala haina kupepesa macho
Rashford hajaacha kuwa mchoyo.Rashford ni mchezaji hatari sana ila alikosa consistence nadhani pia ni kutokana na ubovu wa timu misimu kadhaa iliyopita. Akipunguza uchoyo na kaufather atakwenda kuweka historia kubwa kwenye soka.
Kwaiyo unakubali nawewe ulifungwa na timu mbovu?Sababu nyie ni wabovu Wala haina kupepesa macho
Mpira ni mchezo wa makosa na ufundi mwingi sana wa kimbinu. Unapoingia uwanjani ukiwa unafanya makosa mengi ya kiufundi na mpinzani wako akiwa clinical kutumia nafasi anazopata utaadhibiwa goli nyingi sana.Hivi hii Liverpool imetufungaje 7?
7-0?Kwaiyo unakubali nawewe ulifungwa na timu mbovu?View attachment 2546257
L'pool ule upepo wa kutufunga goli 7 naona ulianza kuwadanganya wakajiona matatizo yao yameisha.Aliyefungwa ni liverpool, atakayetukanwa ni manchester united.
Ngoja nisubirie
Liverpool inajulikana msimu huu ni wabovu , ila siokweli waliwafunga 7-0 kwa kubahatisha ,ni sababu timu yenu bado Sana ina matobo ,L'pool ule upepo wa kutufunga goli 7 naona ulianza kuwadanganya wakajiona matatizo yao yameisha.
Kinachoamua mwisho wa mashindano ni kitu gani? Jaribu kufanya comparison ya United vs English premier league teams msimu huu ktk mashindano yote. (EPL, EFL, FA pamoja na European cups)7-0?
Hapa hamna Cha kujitetea ,nyie ni wabovu tu ,
Shida yenu mnafichama kwenye matokeo ,angalia mmeshindaje ,sio kubahatisha
Mfano hiyo mechi mliyoshinda 3-1 vs Arsenal ,hakuna mpira wa maana au performance ambayo ilikuwa guarantee mna timu Bora
Hii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huuWabovu wapo namba 3 na wazima wanafungwa na kibonde bornamouth
Yani wewe kocha msimu wake wa kwanza Unataka aanze na kucheza soka Safi sisi sio arsenal tunataka kwenda uefa hatutaki ujinga kama wa arteta.7-0?
Hapa hamna Cha kujitetea ,nyie ni wabovu tu ,
Shida yenu mnafichama kwenye matokeo ,angalia mmeshindaje ,sio kubahatisha
Mfano hiyo mechi mliyoshinda 3-1 vs Arsenal ,hakuna mpira wa maana au performance ambayo ilikuwa guarantee mna timu Bora
Halina ubishi Liverpool ni wabovu Sana hasa MidfieldTulifungwa saba na timu mbovu sana aisee.
Conte na mpira wake wa ujanja ujanja ila ana kombe la juzi juzi tu hapo nyie arsenal miaka 18 Sasa no EPL CUP sasa sio Bora hata Conte kama unaona ni rahisi na nyie chezeni mpira wa ujanja ujanja uwape hata ka UEFA basiHii performance ndio inawalaghai , Conte alikuwa na mpira wa ujinga ujinga Kama wenu akashinda mechi kibao na kufuzu UCL , na akaongezewa watu ,media zikasema anabeba EPL msimu huu
Sasa hivi anataka kukimbia kabisa
Nyie Kuna mechi zaidi ya 7 mnapata matokeo tu lakini hamna guarantee ya ku survive huko mbeleni ,ndio maana katika zile top 6 pale nadhani mna GD 6 , Mna viashiria vingi Sana vya middle teams ila kwakuwa hamtaki ukweli ,muda utaongea
Unacheza na kina reading , chalton , na timu nyingi zenye kariba hiyo unasifia ,Kinachoamua mwisho wa mashindano ni kitu gani? Jaribu kufanya comparison ya United vs English premier league teams msimu huu ktk mashindano yote. (EPL, EFL, FA pamoja na European cups)
Unasemaje timu mbovu imeshinda michezo 31 kati 43 msimu huu idadi kubwa kuliko timu yoyote ile barani ulaya ktk ligi 5 kubwa (EPL, Serie A, Bundesliga, La Liga na Ligue 1) na ni timu pekee inayoshiki michuano yote ktk vilabu vya Uingereza. Ubora wa timu unapimwa kwa kitu gani? (72.1% - winning percentage, yaani ktk kila mechi 10 United msimu huu tumeshinda mechi 7)