Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimekuja kutoa turubahi na kukunja majamvi kuashiria msiba umekwesha.
Tunawashukuru majirani kwa kuja kutughani kama wafiwa, kilicho baki rudini majumbani kwenu na maisha yaendelee.
 
Unalinganisha 5 na 7 mkuu? Halafu man u kapigwa na hasimu wake
 
Mkuu raha ya ushabiki ni nini kama sio kelele?

unadhani ni Kwanini timu nyingi zinapenda kucheza zikiwa nyumbani ujui ni sababu ya kelele za mashabiki.

Yani Kwaiyo raha ya mpira ni nini kama watu hatuta Piga kelele na kusifia timu zetu?
Pia mimi sikuona chakuogopesha ile mechi ety mpaka tushindwe kutamba kuwa tunaenda kushinda, uoga ungetokea wapi na tulikuwa tumetoka kumpiga mara 2 mfululizo na ukiangalia mwenendo wetu ki matokeo ni mwendo wa kugawa dozi tu.

Yani ambacho nimegundua nikuwa hawana chakusema ili sentensi zao ziwe na ujazo mpaka wajazilize neno MLIDHARAU MECHI.
 
Many at #MUFC, players included, were irritated by Bruno Fernandes' behaviour on the pitch on Sunday.

#ChrisWheeler
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Harry Maguire is set to leave #MUFC this summer.

#ChrisWheeler
#TrustTheProcessETH

#UnitedfortheFans

#GlazerOUT

#GGMU


man utd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…