Hii game imekuwa ngumu sasa...nafasi ya kufanya sub sasa ni moja tu...RvP hawezi kucheza hadi dakika 90...
DM inabidi aumize kichwa kweli...maana hii gemu ni ya kushinda...kama Everton na Spurs wakipigwa (hadi HT wote wapo nyuma kwa goli 1), kushinda ni muhimu sana...
Twende sasa
#ManUnited