Ndy jukumu alilonalo kwa sasa,,
Hata tukisajili striker lakini sio mtu wa kukaba kama weghorst,
Tutarudi kule kule kwenye maumivu ya kupoteza.
Man U vs Newcastle weghorst pia alifanya Kazi kubwa ya kublock na tackles nyingi uwanjani..
Tunaojuwa mpira tunasema weghorst apewe mkataba permanent na sio mkopo tena..
Sent from my 2201117SG using
JamiiForums mobile app