Kwa ule upigaji wa penati kwa wachezaji wa UNITED inaonyesha kuna mambo mawili:
1.Walikuwa wanafanya makusudi kwa ajili ya kumkomoa Mwalimu(MOYES) au
2.Ilikuwa ni moja ya strategy yao kukwepa fainali WIMBLEY kukutana na CITY
Manchester United have reportedly marked out a landing pad at their Carrington training ground, as the Spaniard is apparently on his way to Manchester via helicopter.
Kwa ule upigaji wa penati kwa wachezaji wa UNITED inaonyesha kuna mambo mawili:
1.Walikuwa wanafanya makusudi kwa ajili ya kumkomoa Mwalimu(MOYES) au
2.Ilikuwa ni moja ya strategy yao kukwepa fainali WIMBLEY kukutana na CITY
Baada ya kuwa na uhakika kabla ya jua kuzama siku ya ijumaa juan mata atakuwa shetani mwekundu wachezaji wamekuwa na ari kubwa leo huyu sunderland tutampiga nyingi sana, gooooners msikimbie kaeni hapo hapo..
mwallu dada Yangu Nitumie lugha gani kukuambia utoke Huko kwa mashetani yaliyokufa? Nilikuambia siku ile timu yenu imekwenda na Babu Alex imekufa! Hautaki!
Aya Wewe kaa Huko Huko na ubishi wako bora misschagga yeye kaamua kua Mwenye furaha kila siku na Chelsea