Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa ule upigaji wa penati kwa wachezaji wa UNITED inaonyesha kuna mambo mawili:
1.Walikuwa wanafanya makusudi kwa ajili ya kumkomoa Mwalimu(MOYES) au
2.Ilikuwa ni moja ya strategy yao kukwepa fainali WIMBLEY kukutana na CITY

Duuh! Kwa hiyo sababu ya 2 nadhani tuwasubirie wahusika wenyew waje kutuhakikishia.
 
Manchester United have reportedly marked out a landing pad at their Carrington training ground, as the Spaniard is apparently on his way to Manchester via helicopter.

 
Kwa ule upigaji wa penati kwa wachezaji wa UNITED inaonyesha kuna mambo mawili:
1.Walikuwa wanafanya makusudi kwa ajili ya kumkomoa Mwalimu(MOYES) au
2.Ilikuwa ni moja ya strategy yao kukwepa fainali WIMBLEY kukutana na CITY

shughuli ipo
 
Nilishakuambia huku ni misiba tu hama ndugu Yangu!

Cc mwallu
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kuwa na uhakika kabla ya jua kuzama siku ya ijumaa juan mata atakuwa shetani mwekundu wachezaji wamekuwa na ari kubwa leo huyu sunderland tutampiga nyingi sana, gooooners msikimbie kaeni hapo hapo..




hahahhahahaahaaaaaaaaaaaaaaa
Egg on your face, loser!
 
hatuhami ng'ooo..we are forever united


mwallu dada Yangu Nitumie lugha gani kukuambia utoke Huko kwa mashetani yaliyokufa? Nilikuambia siku ile timu yenu imekwenda na Babu Alex imekufa! Hautaki!

Aya Wewe kaa Huko Huko na ubishi wako bora miss chagga yeye kaamua kua Mwenye furaha kila siku na Chelsea
 
Last edited by a moderator:


tHE mILEY cYRUS Of Manchester




watch out for this movie...lol





if you know what this means...hahahaha






 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…