Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.Kuna chance kilikuwa chenyewe na nyavu halafu kuna hiyo kilishindwa kutoa pass.
Kile kinapaswa kikaripiwe, ukiwa na Greenwood chances zote zile alishakupa point tatu.
Bring back Greenwood.
Angeanza Nani?Kocha kafeli sana kwenye first eleven.. yule dogo garnacho sio mchezaji wa kuanza mechi, anatakiwa aingie dk za 70 au 80...
Mechi ilkua nyeupe sn hii, wachezaji cjui ni uchovu walkua wanapoteza sn mipira kuwin second ball nayo ilkua changamoto
Ni bora tu aanze kivyohivyo hiyo fitness kama hakuipata mazoezini ataipatia humohumo dimbani kuliko kuanza na Garnacho.Sancho hana match fitness mara ya mwisho sancho kucheza ni october unataka atoke huko sober house na kucheza?
Haipo ivyo kwa timu yenye hadhi kama ya man U ni ngumu maana kila mchezaji anaesajiriwa kwa timu kama man u ni mzuri,,halafu ETH alishasema sancho hatomwaisha kuanza kucheza leo yenyeww kamwaisha kutokana na injuries za timu pamoja na kadi ya casemiroNi bora tu aanze kivyohivyo hiyo fitness kama hakuipata mazoezini ataipatia humohumo dimbani kuliko kuanza na Garnacho.
Sio kwetu. Nyie mmeshikwa makalio kwenu.
Na mnaenda kurudiana nao mechi ijayo ghettoni kwao, lazima mtaacha mavi ukutani!
Mabingwa watarajiwa hamjambooooooo?Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.
Sancho, Pellistri, Diallo, Martial ni wachezaji wazuri sana wanaocheza kama timu. Hata Greenwood kipindi anaanza kupata namba alikuwa na mambo hayahaya ila tofauti yake na Garnacho ana uwezo mkubwa wa kufunga. Sasa Garnacho anakaa na mali halafu hafungi.
Mmevunja Rekodi kwa kuwa wa kwanza KUBONG'OLEWA NA KUKOJOZWA mapema sana tangu Ligi ianzeMechi inayofata 10 Hag asipoanza na Sancho kwenye 11st sitamuelewa kabisa.
Lile goli tulilofungwa kabla ya dakika ya kwanza ndio linaweza kua goli la mapema zaidi Epl msimu huu 2022-2023.
Mtoto mpuuzi sana yule kana ego za kijinga mno.Garnacho pamoja na talent aliyonayo kitu anachonikera ni kuwa mchoyo na siyo mara ya kwanza anafanya hivi. Mimi ni heri acheze mchezaji anayeonekana ana talent ya kawaida lakini anacheza kama timu.
Sancho, Pellistri, Diallo, Martial ni wachezaji wazuri sana wanaocheza kama timu. Hata Greenwood kipindi anaanza kupata namba alikuwa na mambo hayahaya ila tofauti yake na Garnacho ana uwezo mkubwa wa kufunga. Sasa Garnacho anakaa na mali halafu hafungi.
DuhKile Kitoto cha Leeds cheusi chenye matako makubwa kimemsumbua sana Dalot kilimgeuza uchochoro.
Kwa sauti ya legendari letu Gary Neville... Haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.Mabingwa watarajiwa hamjambooooooo?
Said bahanuziAngeanza Nani?