kocha wake anamjua kuliko sisi ,,,,kafanya nae kazi ajax ! Ana impact kubwa Sana kwenye mechi,,,,, ule upande anaocheza anasaidia Sana ! Usikariri magoli na assist ! Collectively Yuko vizuri sanaWatu wanademand offensive impact yake Kwan alinunuliwa Kwa ajili ya shughuli ya kuzuia?
Yaani kuna watu wao kila kukicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.Siwezi kumlaumu Antony yule jamaa wa Palace kamsukuma makusudi halafu anamuangalia kidharau.
Safi sana wachezaji wamemtetea dogo, hawa wachezaji wa Palace wahuni, muhimu tuwapige hivihivi tukiwa na red card.
mKuu unafanya kosa kubwa sana kutomtaja LISANDRO MARTINEZWa-South America hawana kazi za kuremba hata Portuguese wanapiga sana kazi mf. Bruno na Dalot. Ila kazi chafu zote ni wazee wa South America na ule ubabe wao ndiyo unajenga mentality ya ushindi kwenye kikosi ndiyo maana ile red card ya Casemiro nimeikubali wale jamaa walistahili kupigwa mtiti na points 3 wameziacha.
Jamaa hua analeta balance sana kwenye timu ila show off zake za kijinga anatakiwa abadilike.Yaani kuna watu wao kila kikicha ni Antony wanajaribu kumtafutia ubaya hata kwa tochi kwangu mimi Antony bado ni mchezaji bora sana namuona akitimiza yale majukumu anayopangiwa na kocha ya kutanua uwanja na kuacha space kwa attacking midfielders na maforward.
Nitashangaa sana akiongezewa mkatabaMsimu huu antony martial amekosa mechi 20
The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.mKuu unafanya kosa kubwa sana kutomtaja LISANDRO MARTINEZ
Hii mi palace siipendi kinoma..
Inaonekana Erik anampenda sana cause press conference zake nyingi anapo muongelea martial anaonekana kuwa ni mchezaji aliye katika mipango yake.Nitashangaa sana akiongezewa mkataba
kabisa mkuu.The Butcher ni mtu na nusu. Kikosi anachokifuma EtH ni bomu mpinzani akijaribu kulikumbatia analipuka nalo.
Hawa ndiyo aina ya wachezaji wanaostahili kuvaa jezi ya United.
kabisa mkuu.
nipende kusema huyu jamaa kwa jina la SABITZER kwa dakika chache alizocheza ukizingatia ni mgeni bila kusahau kaingia wakati timu inamhitaji niPende kusema Tumelamba Dume.
Nipo nacheck kwa mala nyingineJamaa anaonekana atatufaa sana, muamuzi mbovu amempora assist yake leo. EtH kichwa kimetulia sana yule.
Hivi mna uhakika hakuna agenda dhidi ya timu yetu kweli? Maana haya maamuzi yananishangaza sana, sasa pale Sabi alifanya foul gani?
Nipo nacheck kwa mala nyingineView attachment 2506374
Pia kuongeza zile dakika 7 na anaona tupo pungufu, cha muhimu Pointi 3Muamuzi alifanya kila namna ili tudondoshe point, hili lilikuwa goli la tatu.
Inaonekana unajua mpira kuliko Ten hag aliyemnunua na anayemchezesha kila siku, Kila kocha ana mbinu zake, na maelekezo aliyopewa Antony ni kulinda mpira, kutanua uwanja, na ku combine na wenzie nafac ikipatikana, na ndio maana unamuona anacheza vile na hauon akiwekwa benchi kwa kucheza vilemnamaha san na athony kisa ni mshabik wa man u anaenda kucheza cheza ujinga anamsababishia card casemiro ya kijinga ona itakavyokuja kutugarimu pengo kubwa sana athony sio mchezaj kabisa gernacho kaingia tu katoa mchango wa goli la pili mapema tu yeye anaenda kucheza kweny chaki ifike time ata kam ww ni man u ukubali athony anachelewesha ushindi