Manchester United (Red Devils) | Special Thread

duh! Offside eti. VAR ni shida.
Kinachonshangaza gemu na man city rashford alikua offside wakat pass inapigwa ila kwa kuwa hakugusa mpira ikawa onside.. ila hapa weghost alkua offside wakat pass inapgwa ila hakuugusa mpira, aliyegusa mpira ni beki wa reading ndo mpira ukamkuta weghost akatoa assist ila imechukuliwa ni offside

Sasa ndo naanza kuelewa kwann marefa wa uingereza wanapewaga nafasi chache kwny world cup
 
Lwa hii timu inavocheza kwangu kama kocha hatobadilisha mentality ya mawinga wake hata aje benzema au lewandosky hawez kushine apa.. tuna winga zenye akili za kipumbavu, ubinafsi umewajaa...

Inanisikitisha sana watu wanapomueka rashford kundi moja na mbappe
 
Hii sheria ya Offside hii inatuchanganya sasa..

Possession yote hii na hatujacheka na nyavu..

2nd half inabidi tuanze kwa kasi tumalize game mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…