James Hadley Chase
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 2,101
- 3,866
Man City katoka?Wametuletea bwana misitu..Hayaa tumchape tena zile 3 hazikuwatosha
Upande wapili
Soton vs Nyukasto
Soton hawashindwi mjue...Anaweza kumtoa newcastle tukakutana nae final akala nyingi kama alivyokula zile 7 sijui 8 msimu 2022/2021
#GGMUView attachment 2477987
City inabidi uwabinye kwelikweli..wanapoteana..ila ukicheza kilaini laini na kuacha space lazima wakumalize.Hawa City ukiwaminya kidogo tu kumbe weupe.
#ManchesterDerby
Tunawagonga hapo hapo OT na hakuna kitu mtatufanyaCity inabidi uwabinye kwelikweli..wanapoteana..ila ukicheza kilaini laini na kuacha space lazima wakumalize.
Jumamosi inabidi tuwapanikishe mapema sana..
We fala mechi ya October last year bado unafanyia reference? Mambo yamebadilika, timu yako imeshindwa kupata shot on target against Southampton halafu unakuja kujitapa hapa. Everton tu waliwanyoosha.Tunawagonga hapo hapo OT na hakuna kitu mtatufanyazile goli 6 tulizowagonga mmesahau ??
Source?DEAL DONEMan Utd have signed Wout Weghorst on loan from Burnley until the end of the season. Man Utd have paid Beşiktaş a €3M fee as the 30 year old was on loan there from Burnley️
Wout François Maria Weghorst ni mchezaji ambaye hayuko hata kwenye first team ya championship club inayoitwa Burnley, na ninyi ndio mnamfanya replacement ya Cristiano Ronaldo. Mnamnunua kwa mil 3. Are you serious kweli au ndio strategy mpya baada ya kuwanunua wachezaji wa mil 100 wakashindwa kudeliver?DEAL DONEMan Utd have signed Wout Weghorst on loan from Burnley until the end of the season. Man Utd have paid Beşiktaş a €3M fee as the 30 year old was on loan there from Burnley️
Kwa mkopo..Wout François Maria Weghorst ni mchezaji ambaye hayuko hata kwenye first team ya championship club inayoitwa Burnley, na ninyi ndio mnamfanya replacement ya Cristiano Ronaldo. Mnamnunua kwa mil 3. Are you serious kweli au ndio strategy mpya baada ya kuwanunua wachezaji wa mil 100 wakashindwa kudeliver?
Fabrizio RomanoSource?
Grealish hakuna kitu mule.. Ni vile tu kazaliwa Uingereza lakini kwa akili ya moira huenda chama akawa bora kwake.Kwa hii momentum timu ime-gain , city hawezi kutusumbua Sana ! Tukiweza kuwathibiti KDB na Bernado kazi imeisha,,,, haaland kule mbele atakosa malisho ataishia kuruka ruka tu !!! Fodeni pia Ni mchezaji mwingine wa kumuangalia !!!
Kwa miaka ya hivi karibuni nadhani msimu huu ndo city hawana beki nzuri ,,, rotation Sana au na majeruhi pia ?
Grealish Nini kimempata ? Hakuna anaemzungumzia, japo hapati Sana nafasi lakini Namba hazidanganyi , hata hizo chances chache hajaweza kuwa mwiba Kama alivyokuwa pale Villa Park !
Trust me bro!Source?
NdioHivi huyu kipa wa forest si alikuwa wa man u huyu!