Lile goli ata ww unafunga... ukitoa goli amna cha maana anachofanya anakaa sana na mpira wanampokonya timu nyuma na kati inacheza vizur huko mbele upumbavu mwing
Lile goli ata ww unafunga... ukitoa goli amna cha maana anachofanya anakaa sana na mpira wanampokonya timu nyuma na kati inacheza vizur huko mbele upumbavu mwing
Fowards zetu butu, utoto mwingi amna mtu wa kufanya maamuz magumu wanaruka ruka tuu huyo antony mbwembwe nyingi mwisho watu wanachukua mali, akipiga pasi nying hazifiki
Kwa hiyo hiki ndio kikosi chake serious!!! 😆😆 Huyu kocha bhana, kwanza wachezaji wake aliowaleta wote wamefail...Anthony, Van de Beek, Malacia, Lisandro pekee ndio anaonekana mtu. Hawa kina Martial aachane nao mapema huwezi kuwa na mchezaji mvivu kiasi hiki, Rashford anapambana lenyewe linatembea tu.
Ila dada Masha (Martial) kwa jinsi anavyocheza kifaza atatuchelewesha sana, hana tofauti yoyote na Ronaldo wa Round ya kwanza, tena bora hata ya Ronaldo alikua akiona Camera zanammulika anakimbia kimbia kidogo kutafuta mipira.