FIFA wamethibitisha kua mashindano ya kombe la dunia mwaka huu yameng'arishwa zaidi na wachezaji wa Manchester United.
Wamesema wanaanda utaratibu ili mashindano yajayo ya World Cup Manchester United ishiriki kama taifa linalojitegemea.
Hakika nimeanza kuamini Man United ni timu ya dunia maana sio kwa kupendwa kiasi hiki na walimwengu.