Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Msemaji wa Apple kakanushaManchester Evening News (MEN) moja kati ya credible source kuhusu habari za United na Sky Sports wameripoti kuhusu Ortega na Apple ku explore possibility ya kununua klabu ya United
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.Manchester Evening News (MEN) moja kati ya credible source kuhusu habari za United na Sky Sports wameripoti kuhusu Ortega na Apple ku explore possibility ya kununua klabu ya United
Sent from my M2004J19C using JamiiForums mobile app
Negativity kwa media uchwara? Ni kama tu wakati wa usajili media zinatumia jina la Man U ku generate views, wanatunga habari zisizo na kichwa wala miguu.Kwa hiyo Chief-Mkwawa hoja yakoni ipi haswa?
Na unachotaka kama mshabiki wa United ni nini?
Why thIS negativity over the team that you claim to support?
As a fan, no matter the price or the buyer, as we long United gets out of the Glazers, that is ALL I WANT.
SawaNegativity kwa media uchwara? Ni kama tu wakati wa usajili media zinatumia jina la Man U ku generate views, wanatunga habari zisizo na kichwa wala miguu.
As far as i understand watu pekee waliojitokeza na interest za kununua Man U ni Sir Jim Ratcliffe na Martin Oneill wa Red knight, wote hawa kwa vipindi tofauti walitangaza hadharani.
Pia wote hawa wameikataa hio valuation ya Glazzers,
Na sababu hatuwataki Glazzer haimaanishi tuchukue akili zetu tuweke mfukoni tuamini kila tunachokiona online.
Apple isn’t planning to buy #mufc. [@rsgnl]Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.
Ni kama Mtu wa uingereza Aseme habari za Diamond na source yake iwe gazeti la ijumaa.
Men inamilikiwa na Mirror, wanare use tu habari zao
Jamaa hataki shobo wala mihemko. Amepiga penye ukweli na kuondoka zake.Apple isn’t planning to buy #mufc. [@rsgnl]
Maelezo ya huyo reporter wa Apple , account yake Twitter Ni @rsgnl
For #ManUtd fans landing on my profile today: I'm an Apple reporter, not a sports reporter. Feel free to roast me if you don't believe me, but I have it on very good authority that Apple is not planning to buy the club. Sorry to ruin the fun! 🥲
Matajiri hawafanyi biashara kwa hisia au kiswahili swahili..Lkn ten Hag atapona akija tajiri mwingine??
Nahisi mzimu wa chriatiano utamsumbua.
Wanaolalamika sio kwamba wana Mcompare De gea na Unai, bali De gea hayupo kwenye kikosi cha watu 55 na kuna makipa wa 5 mbele yake.Mliokuwa mnalalamika kwanini Degea hajaitwa SPAIN mtakuwa mmeona jinsi Unai Simon anavyocheza
Bado wale makipa watano , footwork zao Ni nzuri Sana kuzidi De gea, angalia Unai simon, Robert Sanchez, Hata Kepa Arizabalaga , now Chelsea wanatajwa kutaka kumuacha Mendy,Wanaolalamika sio kwamba wana Mcompare De gea na Unai, bali De gea hayupo kwenye kikosi cha watu 55 na kuna makipa wa 5 mbele yake.
Moja ya mashabik wa man u mwenye habari za ndani kabisa ,umeelezea vizuri Sana hili swala la man u kuwekwa sokoni ,Kuna mashabiki hawataki ukweli, Kuna wanaoamini Apple wanaitaka man u ,Aisee, Men ni Credible source? Si gazeti la udaku hilo? Na sky ni average si Credible kivile na hawajareport, kama wamereport weka source. Nikipata muda nitaweka Tier 1 source za Man united zote, ama kama kuna mtu anao karibu aweke ila source kama Men ni takataka mkuu.
Ni kama Mtu wa uingereza Aseme habari za Diamond na source yake iwe gazeti la ijumaa.
Men inamilikiwa na Mirror, wanare use tu habari zao
Makocha wengi mould za Barcelona hawana Plan B thats why De gea hayumo.Bado wale makipa watano , footwork zao Ni nzuri Sana kuzidi De gea, angalia Unai simon, Robert Sanchez, Hata Kepa Arizabalaga , now Chelsea wanatajwa kutaka kumuacha Mendy,
Ukiona jinsi Unai simon alivyokuwa anarudishiwa mipira mita chache tu, na Hana presha , unaona kabisa ile Spain ,Degea haimfai
Under 20. Alikuwa academy ya Chelsea. Sema Chelsea ni kawaida yao tu.Hivi musiala alikataliwa Chelsea au arsenal ??
dah Bayern wamelamba dume! Dogo Ni pure talent,, ! Ndo kwanza yupo under 25, Bado ana mengi ya kujifunza na ku-prove !
Hatari Sana mkuu ,,, !Under 20. Alikuwa academy ya Chelsea. Sema Chelsea ni kawaida yao tu.
Lazio pia timu kubwa mkuu, kama Spurs vile ligi ya uingereza. Ana bei ndefu sana kwa timu zinazomhitaji kama unavyoona Harry kane.Hatari Sana mkuu ,,, !
Kuna huyu mwamba sergej mil-savic nilikuwa sijawahi kumtazama vizuri kule Italy,,, kwenye hizi mechi mbili za WC ndio nimemtizama kwa ukaribu zaidi ,,, anajua Sana aisee top top talent !
Timu kubwa hazimuoni ? Ama lazio wanammbania !