Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.Nilikuwa naitafuta hii Comment mkuu, Kumponda Glazzer ni kutafuta tu huruma ya kuungwa mkono.
Ronaldo amekataa Kuingia Sub vs Spurs ni mechi ambayo tumecheza mpira wa maana kuliko mechi yoyote ile chini ya ETH.
Ameomba kufanya hii interview na imetolewa Exactly wakati wenzake wanashabikia ushindi na Fulham.
Akishinda Man U yeye vinamuuma huyu mtu ana Uchungu na Club? Anataka ushindi wote wa Man U upitie kwake,
Msimu uliopita wakati timu inafanya vibaya yeye anafunga alikuwa fresh tu, aliwahi pia kuwapiga madongo wenzie kwamba Tactic zina mchango mdogo wanatakiwa wajitume, ila sasa hivi mambo yamegeuka anaona kama Amesalitiwa.
Manchester United's prep for the season, formative months of Erik ten Hag's reign, the new culture being created, their most complete display (v Spurs) in ages, the high of a future star scoring a late winner, the collective... all undercut by Cristiano Ronaldo. That's betrayal......Mimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.
Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
Team Ronaldo tupoMimi niliumia sana ile game ya Spurs..Tulipiga mpira mkubwa sana..lakini badala ya kusubiri mpira uishe hata awapongeze vijana yeye akaondoka kabla ya mpira kuisha..Hili linaonyesha how selfish he is.
Sidhani kama kuna Shabiki wa United mwenye akili timamu ata-side na Ronaldo.
Anakuja hapMtu analipwa £500k p/w..summer hii pia meneja wake alikuwa anapiga simu kwa kila sporting director anayemjua ili amtoe Ronaldo United..Yet Ronaldo anasema anahisi kusalitiwa ..
Achilia mbali drama nyingine alizotufanyia..
I hope ameshapata timu ya kwenda January hii.
Amesema sawa ni vizuri: Kwanini anasema muda huu ambao yeye mwenyewe hafanyi vizuri kwa nafasi yake?Man u ina matatizo na watu hawataki kuambiwa ukweli
Mwisho wa cku CR7 kasema ukweli ili timu ipone matokeo yake watu wanamshambulia CR 7
Cjui vichwan mwa watu kuna nn? Mtu anajifanya kuijua man u kuliko CR7 mwenyewe
Unadhan kuna mtu anaweza kutoboa jipu kama alivyofanya yeye??? Hana cha kupoteza na mwalimu amuheshim C7 mwalimu wa daraja la chiniAmesema sawa ni vizuri: Kwanini anasema muda huu ambao yeye mwenyewe hafanyi vizuri kwa nafasi yake?
Ameonesha tabia mbaya zisizofaa kwa wachezaji wenzake hususani kumsema namna ile mwalimu wa timu.
Ronaldo yupo sahihi, toka alipoondoka Ferguson timu haileweki inataka nini, walishayasema Van gaal na Mourinho alichofanya CR7 ni kukazia tu. Timu inahitaji mabadiliko makubwa sana.[emoji2424]Nilitaka kwenda Man City lakini Sir Alex Ferguson alinipigia na kuniambia sipaswi kwenda City nami sikutaka kumkatalia, nikaufuata moyo wangu na nikarejea Old Trafford.
[emoji2424]Nilidhani nitaona vitu tofauti ndani ya United lakini nimeshangaa mambo mengi ni yale yale tangu nilipokuwa nina miaka 20,21,22 teknolojia imebadilika ila United tupo pale pale.
[emoji2424]Nahisi kusalitiwa na Man United, kuna baadhi ya watu hawataki niwepo hapa na sio msimu huu tu ni tangu msimu uliopita wanataka niondoke, mimi naiheshimu sana klabu hii na Mashabiki wake.
[emoji2424]Sina heshima yoyote kwa Erik Ten Haag kwakuwa yeye haniheshimu, kama wanataka kufanya mabadiliko ikiwemo kuniondosha ni sawa ila wanapaswa kubadili vitu vingi sana ndani ya United.
[emoji2424]Sijui kwanini Wayne Rooney ananikosoa sana, pengine kwakuwa bado nacheza muda mrefu tena kwenye ushindani mkubwa kuliko yeye, hilo sifahamu.
- Sehemu ya Interview ya Ronaldo na Piers Morgan ambayo itaanza kuruka Jumanne na Jumatano.
Sidhani kama kuna timu yo yote itakayokuwa kumchukua mtu anayejiona wa maana kuliko wenzake wote, na hata kuliko kocha.Mtu analipwa £500k p/w..summer hii pia meneja wake alikuwa anapiga simu kwa kila sporting director anayemjua ili amtoe Ronaldo United..Yet Ronaldo anasema anahisi kusalitiwa ..
Achilia mbali drama nyingine alizotufanyia..
I hope ameshapata timu ya kwenda January hii.