Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Haichekeshi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Unatoa wapi muda wa kuandika upupu ?
 
Ujasiri upi wakati kaongea FACTS bila kupapasa macho
Kwenye suala la kocha kumkataa, EtH yupo sawa 100% wala hajawa betrayed. Kama hafai mifumo ya kocha asiambiwe?

Sehemu Ronaldo alipoongea facts ni kuwachana Glazers kumleta Rangnick mtu ambaye hata siyo kocha na kumpa majukumu ktk club kubwa kama United.

Pia suala la miundombinu anasema hakuna kilichobadilika kila kitu kipo vilevile tangu ni kijana mdogo wa miaka 21. Technology za kizamani. Hata mashabiki wanaoenda Old Trafford wanasema paa la uwanja linavuja.

Glazers hawapo serious ni jambo zuri mtu mwenye wafuasi wengi amewachana kweupe. Club haipo serious kabisa toka SAF kasepa. Tusubiri full interview tu.
 
Sio Ronaldo tuu , wajanja wengi walishaisemea hii timu , wafia timu wa buza njooni sasa..wazee wa kusifia rushford , hii timu ina wajuaji hii 😬😬 , tunalojua progress ni zero , kiufupii kwishaaaa hamna timu pale
 
Progress is Zero!ni ukweli tangia 2013 Manchester United ipo ipo tu nothing new Ronaldo anaijua United na ana uchungu nayo for example Fergie alimpigia simu na akaamua kufuata moyo wake wa kurudi nyumbani but since hakuna mapya kabisa
Waambie tuu ukweli huyo tenhag wanayemsifia , msimu ujao mwez wa 12 watakuwa wamemtimua, 😁😁😁 sa hv anasingizia fungu la usajili , watampa fungu dirisha dogo na watamuongezea fungu dirisha kubwa , zen atakula kichapo mfulululizo mwez wa 12 next year wanamfungashia vilago
 
Wafia timu mmekasirika?? Wacha mchomwe Sindano ya Ukweli. Polepole mtapona tuu.

Huwezi niambie Zlatan, Mourinho, Lukaku Pogba, Cavani, Rangnick, Eric Bailly na Ronaldo ni Wapumbavu, HAPANA.

Eti "Kasema ukweli "ILA". Hakuna cha ila, pambaneni na Ukweli acheni kutafuta Kichaka.
 
Kitendo cha PENDU kumsema vibaya ETH
Naona january asepe tu ETH kamvumilia sana alikataa kuingia sub dhid ya spurs
Akapewa ukapteni bado mpira wake mbovu juzi dhid ya villa tukafungwa 3 yeye akuwepo ndani bila msaada sasa naelewa kwanini florentino perez aliuza hii flop kwa juve
 
Msimu huu naona tutamaliza ligi na GD ileile tuliyomaliza nayo mwaka jana.
Hii timu ikibahatika kuongoza mechi kwa goli moja wachezaji wanarelax hawajisumbui kabisa kutafuta goli la pili, wanahesabia tayari wamemaliza kazi.
Presha inaanza baada ya timu pinzani kusawazisha.
Mechi zetu nyingi kama ni kushinda basi ni 1-0, 2-1, 3-2 ni mechi chake sana ambazo hua tunaongoza kwa goli 2+
 
Mkuu kiwango cha Fernandez tumeanza kukilalamikia kabla hata ya ujio wa Eriksen.
Jamaa anapoteza mipira kizembe sana hali inayopelekea kuigharimu timu.
 
Unafikiri Ronaldo Anajali?Ronaldo ni GOAT hapo kwa Manchester United unahisi nani kaipa mafanikio kati ya hao wawili?huyo ETH atapigwa kama ngoma na Barcelona na EPL top 4 hatagusa and mind you Ronaldo ndio last player toka EPL kuleta Ballon D'or hapo ujue
 
Ronaldo ni mchezaj wa hovyo sana alikuwa akifos kupndoka akakosa timu kwa sasa anasema united wasaliti
 

Kupigwa kama ngoma sio inshu sijui ni kocha gani hajawah kupigwa kama ngoma hebu mtaje hapa ambae hajawah kufungwa na kukosa nafasi muhimu za timu yake kuongoza ktk mashindano
 
Full interview itatueleza Kwa nn alizingua kuingia sub , kaa Kwa kutulia
 
Achaga ufala na wewe,kila zama zinaexpire,ingekua ivo mpaka sasa wakina Pele na Maradona wangekua wanacheza,Ronaldo muda wake umeisha mguuni anaforce tu sympath kwa mashabiki,ila muda ndo umeisha..
Infact huko kupigwa kwetu kama ngoma ndo tunapenda,kama Liva na klop wake walivokua wanapigwa.
 
Nilitaka kwenda Man City lakini Sir Alex Ferguson alinipigia na kuniambia sipaswi kwenda City nami sikutaka kumkatalia, nikaufuata moyo wangu na nikarejea Old Trafford.

Nilidhani nitaona vitu tofauti ndani ya United lakini nimeshangaa mambo mengi ni yale yale tangu nilipokuwa nina miaka 20,21,22 teknolojia imebadilika ila United tupo pale pale.

Nahisi kusalitiwa na Man United, kuna baadhi ya watu hawataki niwepo hapa na sio msimu huu tu ni tangu msimu uliopita wanataka niondoke, mimi naiheshimu sana klabu hii na Mashabiki wake.

Sina heshima yoyote kwa Erik Ten Haag kwakuwa yeye haniheshimu, kama wanataka kufanya mabadiliko ikiwemo kuniondosha ni sawa ila wanapaswa kubadili vitu vingi sana ndani ya United.

Sijui kwanini Wayne Rooney ananikosoa sana, pengine kwakuwa bado nacheza muda mrefu tena kwenye ushindani mkubwa kuliko yeye, hilo sifahamu.

- Sehemu ya Interview ya Ronaldo na Piers Morgan ambayo itaanza kuruka Jumanne na Jumatano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…