Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama timu yako haipo kwenye msimamo wa ligi
Marufuku kupigia watu kelele
 
Luke Shaw is hoping for a new contract at Old Trafford and claims to have held talks with both Leicester and Everton over the summer.

#MEN
#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
EA Sports have predicted Argentina to win the World Cup using simmed matches on FIFA 23.

This method correctly predicted the winners in 2010, 2014 and 2018.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Raphaël Varane has resumed running on the grass in recent days and will be fit for the World Cup.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
KermitManchester United have put 19-year-old Slovenian striker Benjamin Sesko on their shortlist to replace Cristiano Ronaldo.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Dates for the 2023/24 Premier League season have been confirmed with it kicking off on August 12 and finishing on May 19 2024.

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd
 
Could the World Cup be beneficial for Cristiano Ronaldo? [emoji55]

#GlazerOUT
#GGMU[emoji123][emoji41]

manutd View attachment 2411270
F..uck you Ferdinand..

Huyu baada ya World cup inabidi aondoke..

Ni aibu kuendelea kuwa na Matumaini na mtu kama Ronaldo huyu wa miaka 38.

Tuingie strongly sokoni kuboresha our attacking options(Namba tisa).
 
F..uck you Ferdinand..

Huyu baada ya World cup inabidi aondoke..

Ni aibu kuendelea kuwa na Matumaini na mtu kama Ronaldo huyu wa miaka 38.

Tuingie strongly sokoni kuboresha our attacking options(Namba tisa).
Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.

Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.

Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.
 
Mpaka sasa sajili za Ten Hag zimeonesha mafanikio.

Dirisha lijalo tuongeze watu muhimu hasa attacking na ku reinforce midfield.

Tukipata wachezaji wanne kwenye hizo sehemu tunaweza ongea habari za ubingwa.
Ni kweli mkuu....kati tumpatie Jonjo Shelvey apambane na fredi, mbele pale tungepata ata mtu kama Calvert Lewin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…