Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,744
So it will be Lewandoski Vs MaguireMagwaya ndani ya Camp Nou
Lisandro Martínez will miss the first leg of #mufc's Europa League play-off tie against Barcelona through suspension
Ipo wazi Mbona ,Ni zimekaa kibiashara , Man u vs Barca wameona wapige pesa mapema kabisa, asije mmoja akatolewaIla hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!
Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
Pesa imekuja kuharibu sana mpira.Ipo wazi Mbona ,Ni zimekaa kibiashara , Man u vs Barca wameona wapige pesa mapema kabisa, asije mmoja akatolewa
Huyu ni Arsenyoko alie asi chama lake.Wewe timu gan
Arsenal hatuna mshabiki wa ovyo Kama Huyo jamaa ,Huyo Ni manyua aliyewakimbia Baada ya ups and downsHuyu ni Arsenyoko alie asi chama lake.
Sasa hivi ameamua kutofungamana na upande wowote.
ila huyu mwamba anaishi maisha ya raha sana, yupo kwenye free stress zone.
Nimekuwa nikiongea na wadau wangu wa soka kuhusu hizi draw kuwa zinapangwa wakawa wanabisha,ila huwa kuna mazingira ya kibiashara yanatengenezwa.Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!
Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
Kwa Europa ,game ya kuingiza pesa ndefu Ni ya man u vs Barcelona , kila mdau wa soka alijua lazima wakutanishwe tu,Nimekuwa nikiongea na wadau wangu wa soka kuhusu hizi draw kuwa zinapangwa wakawa wanabisha,ila huwa kuna mazingira ya kibiashara yanatengenezwa.
Kumbuka chelsea ya Mourinho dhidi ya barca ya Pep walikuwa kila hatua wanakutana,Arsenal na Barcelona hadi Wenger akapiga kelele ndio kuachiwa,Arsenal dhidi ya Bayern nayo ilifululiza sana. Sasa kuna mfululizo wa Liverpool dhidi ya Madrid.
Hili la man utd dhidi ya Barcelona endapo dili la De Jong halitapoa,basi kutakuwa na mfululizo wa hii combination hadi tutachoka.
Nyie failed shark wa champion league mnabonga Sana , Kwa taarifa yako ni kuwa Europa League kamwe haiwez twaliwa na loosers champion leagueKwa Europa ,game ya kuingiza pesa ndefu Ni ya man u vs Barcelona , kila mdau wa soka alijua lazima wakutanishwe tu,
Niamini anayepita hapo anaenda kucheza fainal na Arsenal au Juventus
Kuna mech ya Nusu fainal Europa itakuwa Kati ya Juve na Arsenal , na mshindi wa Man u vs Barcelona atakutanishwa na Ajax
OkNyie failed shark wa champion league mnabonga Sana , Kwa taarifa yako ni kuwa Europa League kamwe haiwez twaliwa na loosers champion league
Dah wenzetu wako mbali na ratiba, bongo kila kukicha ratiba inaingilianaDates for the 2023/24 Premier League season have been confirmed with it kicking off on August 12 and finishing on May 19 2024.
#GlazerOUT
#GGMU
manutd View attachment 2411287