John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hichoYa
Yah ni kweli...lakin kinachojengwa ni kipi na huku mambo ni yale yale yanajirudia mechi hadi mechi...ukiangalia mechi za hivi karibuni utd wanastrago sana kufunga
Ukifatilia utajua kocha washambuliaji ni Ben Mcarthy msauzi labda shida ndo inaanzia apo!!
Trust the process means to believe in Arteta and ArsenalMnapiga kelele mnataka kuchukua ubingwa na hawa kina Elanga ?
Kocha apewe muda, madirisha walau mawili ,,,,
Kwa Hali ya Chelsea na Spurs Bado naamini tuna nafasi ya kuingia big 4 !
Watu mnamshambulia bruno Mara ooh kashuka kiwango, hafungi sijui assist, jana amekosekana pengo limeonekana ! Jamaa ni mfia timu, timu ikiwa inashambuliwa utamuona anapambana kuzuia, timu ikiwa inashambulia yumo ,,,morali kwa wenzie ? Vdb Ni hewa kabisa !!!! ..
Nilisema hapa mapema kabla ya mechi, Kati ilifaa acheze case na Fred, Ericksen asogee kwenye namba 10!!!
Note! Case na Licha Ni wafia timu, jamaa full kupambana ! Moja ya sajili Bora za utd kwenye miaka ya karibuni !!!!
Anthony Santos ? Tunammiss Sana ! Hopefully soon atarudi !
Trust the process
Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..Jamaa ni mzigo ila wanaleta excuse, kuna sehemu angepasia winga alafu aingie ndani akapewa, badala yake anafumua juu, mbona martial alimchopia but hakuna kitu badala yake yupo late.
Tunahitaji aggressive attacker popote ni hatari.
Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.
Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo aseeDah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo aseeDah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Kwa hii safu ya ushambuliaji hawataboiHatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !
Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
Katika timu zote hizo wakicheza na man utd wangeshinda tuHatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.
Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Uzuri timu yetu tunaijua, mimi matokeo yoyote sawa tu.Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !
Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
Cheki ulivyo mjinga.Mpaka siku united mtakapofahamu kwamba kusajili sio sawasawa na kuwa na timu bora ndio mtakapoamka usingizini. Kinyume na hapo mtalia siku zote na kufukuza makocha.
Hapa umeandika ujinga gani? Pep alivyofika man city alisajili wachezaji wanaofaa kwenye mfumo wake na wala hakutumia fedha kwa pupa.Cheki ulivyo mjinga.
Angalia Pep alichofanya na Man City.
NIMESIKILIZA MAHOJIANO YA ETH BAADA YA MECHI AMEWALAUMU SANA WACHEZAJI WAKE KWA KUTOMPATIA RONALDO KROSI ZA MAANA...AMEWALAUMU SANA SANA, NA INAONESHA RON ATAANZA KILA MECHI. ANA IMANI NAE SANA.Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..
By January atimuliwe..tuingie sokoni kutafuta namba tisa.