Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwa
Kwa hii safu ya ushambuliaji hawataboi
 
Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.

Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Katika timu zote hizo wakicheza na man utd wangeshinda tu


Man utd bado sana kushindana ulaya bado sana


Unaona hii Atletico ilivopigwa uefa lakini man utd ilishindwa kuifunga msimu uliopita


KAZI IPO
 
Uzuri timu yetu tunaijua, mimi matokeo yoyote sawa tu.
 
Mpaka siku united mtakapofahamu kwamba kusajili sio sawasawa na kuwa na timu bora ndio mtakapoamka usingizini. Kinyume na hapo mtalia siku zote na kufukuza makocha.
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
 
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
Hapa umeandika ujinga gani? Pep alivyofika man city alisajili wachezaji wanaofaa kwenye mfumo wake na wala hakutumia fedha kwa pupa.

Man united nyie mkisikia mchezaji ni mzuri mnataka mumsajili hata kama hatakuwa na manufaa kwenu.
 
Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..

By January atimuliwe..tuingie sokoni kutafuta namba tisa.
NIMESIKILIZA MAHOJIANO YA ETH BAADA YA MECHI AMEWALAUMU SANA WACHEZAJI WAKE KWA KUTOMPATIA RONALDO KROSI ZA MAANA...AMEWALAUMU SANA SANA, NA INAONESHA RON ATAANZA KILA MECHI. ANA IMANI NAE SANA.
 
Ila hawa UEFA siyo wa kuwaamini kabisa, hii draw ni ya mchongo si mnakumbuka msimu uliopita walitengeneza mazingira Ronaldo na Messi wakutane!

Hata hii ya Barca na United imekaa kibiashara maana ndiyo timu zinazoongelewa sana Europa na mashabiki wengi walitamani hii draw. Hata Madrid na Liverpool ni mchongo tu maana ni mechi ina ka-uhasama ndani yake. Bayern na PSG pia mchongo tu walishakutana fainali, wanajua kwenye draw ndiyo njia pekee ya kutengeneza mechi za pesa.
 
Ipo wazi Mbona ,Ni zimekaa kibiashara , Man u vs Barca wameona wapige pesa mapema kabisa, asije mmoja akatolewa
 
Huyu ni Arsenyoko alie asi chama lake.
Sasa hivi ameamua kutofungamana na upande wowote.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila huyu mwamba anaishi maisha ya raha sana, yupo kwenye free stress zone.
Arsenal hatuna mshabiki wa ovyo Kama Huyo jamaa ,Huyo Ni manyua aliyewakimbia Baada ya ups and downs
 
Nimekuwa nikiongea na wadau wangu wa soka kuhusu hizi draw kuwa zinapangwa wakawa wanabisha,ila huwa kuna mazingira ya kibiashara yanatengenezwa.

Kumbuka chelsea ya Mourinho dhidi ya barca ya Pep walikuwa kila hatua wanakutana,Arsenal na Barcelona hadi Wenger akapiga kelele ndio kuachiwa,Arsenal dhidi ya Bayern nayo ilifululiza sana. Sasa kuna mfululizo wa Liverpool dhidi ya Madrid.

Hili la man utd dhidi ya Barcelona endapo dili la De Jong halitapoa,basi kutakuwa na mfululizo wa hii combination hadi tutachoka.
 
Kwa Europa ,game ya kuingiza pesa ndefu Ni ya man u vs Barcelona , kila mdau wa soka alijua lazima wakutanishwe tu,

Niamini anayepita hapo anaenda kucheza fainal na Arsenal au Juventus

Kuna mech ya Nusu fainal Europa itakuwa Kati ya Juve na Arsenal , na mshindi wa Man u vs Barcelona atakutanishwa na Ajax
 
Nyie failed shark wa champion league mnabonga Sana , Kwa taarifa yako ni kuwa Europa League kamwe haiwez twaliwa na loosers champion league
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…