Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho
..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
 
Mnapiga kelele mnataka kuchukua ubingwa na hawa kina Elanga ?

Kocha apewe muda, madirisha walau mawili ,,,,

Kwa Hali ya Chelsea na Spurs Bado naamini tuna nafasi ya kuingia big 4 !

Watu mnamshambulia bruno Mara ooh kashuka kiwango, hafungi sijui assist, jana amekosekana pengo limeonekana ! Jamaa ni mfia timu, timu ikiwa inashambuliwa utamuona anapambana kuzuia, timu ikiwa inashambulia yumo ,,,morali kwa wenzie ? Vdb Ni hewa kabisa !!!! ..

Nilisema hapa mapema kabla ya mechi, Kati ilifaa acheze case na Fred, Ericksen asogee kwenye namba 10!!!

Note! Case na Licha Ni wafia timu, jamaa full kupambana ! Moja ya sajili Bora za utd kwenye miaka ya karibuni !!!!

Anthony Santos ? Tunammiss Sana ! Hopefully soon atarudi !

Trust the process
 
Trust the process means to believe in Arteta and Arsenal
 
Ukiskia dunia haina huruma ndio huku sasa......huku kichapo cha villa huko ufutuhini kuna barcenyeto hehehehe stress fc
 
Jamaa ni mzigo ila wanaleta excuse, kuna sehemu angepasia winga alafu aingie ndani akapewa, badala yake anafumua juu, mbona martial alimchopia but hakuna kitu badala yake yupo late.

Tunahitaji aggressive attacker popote ni hatari.
Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..

By January atimuliwe..tuingie sokoni kutafuta namba tisa.
 
Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.

Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Hatuna cha kuogopa mkuu,,, Barcelona sio wazuri kiiivo, enzi za kina xavi iniesta na Messi sio hizi za kina eric Garcia, ,,, Barcelona wanafungika vzr Sana , tusipokuwa na majeruhi wa key players naamini tunatoboa !

Ukuta wa Barcelona umejaa matobo, !!!! Striking force yao ndio kidogo nzuri !
 
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho ..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo asee
Dah waafrika Mbona hawaaminiki kiasi hicho
..yaan Sisi wenyewe tunajiweka inferior kazi Kweli kweli
Hamna mkuu ndo ukweli wa mambo huo asee

Maana ushambuliaji man utd ni hopeless kabisa

Magoli yanatafutwa kwa tochi yaan kama south africa na brazil
 
Kwa
Kwa hii safu ya ushambuliaji hawataboi
 
Hatuna bahati, kwa miaka ya karibuni kila draw lazima tukutane na giant au timu ambayo ipo form na sisi tia maji tia maji tu.

Team za Spain hazijawahi kutuacha salama. Yani vibonde wote wale lakini bado imetokea tupo na Barca.
Katika timu zote hizo wakicheza na man utd wangeshinda tu


Man utd bado sana kushindana ulaya bado sana


Unaona hii Atletico ilivopigwa uefa lakini man utd ilishindwa kuifunga msimu uliopita


KAZI IPO
 
Uzuri timu yetu tunaijua, mimi matokeo yoyote sawa tu.
 
Mpaka siku united mtakapofahamu kwamba kusajili sio sawasawa na kuwa na timu bora ndio mtakapoamka usingizini. Kinyume na hapo mtalia siku zote na kufukuza makocha.
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
 
Cheki ulivyo mjinga.

Angalia Pep alichofanya na Man City.
Hapa umeandika ujinga gani? Pep alivyofika man city alisajili wachezaji wanaofaa kwenye mfumo wake na wala hakutumia fedha kwa pupa.

Man united nyie mkisikia mchezaji ni mzuri mnataka mumsajili hata kama hatakuwa na manufaa kwenu.
 
Timu yetu akicheza Ronaldo tunakuwa hovyo kuzidi..

By January atimuliwe..tuingie sokoni kutafuta namba tisa.
NIMESIKILIZA MAHOJIANO YA ETH BAADA YA MECHI AMEWALAUMU SANA WACHEZAJI WAKE KWA KUTOMPATIA RONALDO KROSI ZA MAANA...AMEWALAUMU SANA SANA, NA INAONESHA RON ATAANZA KILA MECHI. ANA IMANI NAE SANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…