Miongoni mwa kazi ngumu ni pa1 na kuwa KOCHA
maana unafundisha lkn cku ya mechi huchezi na bahati mbaya zaidi timu ikifungwa mema yote ya mechi ulizo shinda yanasahaulika inakumbukwa game uliyopteza......
Miongoni mwa kazi ngumu ni pa1 na kuwa KOCHA
maana unafundisha lkn cku ya mechi huchezi na bahati mbaya zaidi timu ikifungwa mema yote ya mechi ulizo shinda yanasahaulika inakumbukwa game uliyopteza......
msisahau mnacheza na timu yenye kocha mpya,morali ya wachezaji always i akuwaga juu sana maana hata wachovu na waliosahaulika na starter huwa wanajaribu kujibrand ili kupata namba
Me niliwaambia jamani! Man U bado sana, bila ya usajili wa kutosha! TUSIDANGANYIKE
martial so mchezaji
Rashford so mchezaji
Ronaldo kachoka (I respect and appreciate him)