Top for Ni must,,,,,,
Trust the process!
Villarians leo wapo na emery , watakua na morali Sana kuelekea game yao na utd,,,,, !
Sio game rahisi Sana, point tatu Ni muhimu,,,, pale mbele pamepwaya kiasi flani ,,, Anthony Santos na Anthony martial hawapo,,,, cr7 butu, tunahitaji kiwango kizuri cha garnacho na rashyy, Bruno game imkae vizuri !
#GGMU