Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Umenena vyema kabisaa
 
Hakuna anayemchukia Ronaldo kama ata act proffessional,na atatanguliza maslahi ya Man utd mbele na kujua kwamba timu ipo kwenye stage ya rebuild.
Ronaldo ni mkubwa kuliko Ten Hag kimaendeleo, kipesa ,kiuchumi ,kimataji ,yaani everything that's why hata jana kampanga CR7 baada ya ban vs Chelsea hapo Ten Hag anaomba Mungu Ronaldo contract iishe coz atakuwa na 38 na yeye ataridhia kusepa kwenda may be USA or China or Uarabuni kula maisha Ronaldo anamtesa sana Ten Hag I am telling you
 
Niliamini Ten Hag atatubadilisha ila sikufikiria kama ingekuwa faster hivi. Binafsi sina kabisa ile hofu ya kufungwa tukicheza hiki ni kitu ambacho nilikuwa nacho ndani ya United ya 1999 mpaka 2009.

Siku hizi tukiingia uwanjani hata tusipopata matokeo ila unaona kabisa hatukuwa na umakini ktk umaliziaji. Sio kitu cha kawaida hiki kila tukiingia kucheza tunatengeneza zaidi ya nafasi 5 ndani ya mchezo mmoja.

Naamini huyu mshua akileta wachezaji wake anaowahitaji amini amini nawaambia tutafungua sana champagne kila mwisho wa msimu unaomalizika. Tuna mtu mwenye uwezo mkubwa sana kiufundi.
 
Unaongea kiushabiki au kama mwanamichezo? Punguza utoto.
 
Uko sawa lakini Ten hag ndo boss utajiri wako peleka huko, akileta ujinga atakaa benchi hamna namna yani. Hatutaki kulea tena watu wapuuzi na attitude za kijinga kama kina pogba. Zimetucost sana miaka mingi watu wanaamua tu kugoma kocha anacheka cheka.
Yani alichofanyiwa Ronaldo sidhani kama kuna mchezaji mwingine ataleta ujuaji watawaza kama father kala benchi sisi je vitukuu.
 
Nilipenda sana uamuzi wa Ten hag jana kwa Antony jana..

Timu inahaha kutafuta goli watu wanatoka ulimi nje na jasho la kutosha, lenyewe limepokea mpira.. huku kulia Dalot kafungua chumba..Mbele pale Cesa kafungua kwenye box... Linyewe limepokea pasi safi badala ya kupress kwa Dalot au lichokonoe kwa cesa kule kwenye box linazunguka tu na ma spin yake ili kutafuta mkenue kwa mashabiki. Anakuja kutoa pasi too late na cesa kakata tamaa mpira ukaenda nje..

Baada ya kipenga cha break.. likapotelea hukohuko.. hakuna kurudi uwanjani. Wish Ten alimkanya sana.. Wenzako wanamoto sana wewe unaleta utoto..!!
 
 
Huyu antoni ni kanyaboya
 
Baada ya mechi aliulizwa kwenye interview kama hii ndo ilkua sababu ya kumtoa na akakataa.
 
Cody Gakpo is doing fantastic with PSV. His transfer situation has now changed: Leeds and Southampton wanted to bid again for January but that kind of move looks unlikely.
#transfers

Top European clubs are interested in signing Gakpo in 2023.

#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
Erik ten Hag: “Cristiano Ronaldo is important part of the squad, that’s why he starts. Today we need goals”.
#MUFC

“Alejandro Garnacho has impressed me in training and so he deserves to play”.

#GlazerOUT
#GGMU


manutd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…