Manchester United (Red Devils) | Special Thread

De jong,Timber wote limewakuta jambo..

Walijidai nye nye nye hatuwezi kwenda kucheza Europa lig.. kiko wapi?? Matimu mechi tano.. hili point 4, jingine point 3..!! Tena naomba sana tukutane na Barca robo au nusu tumkalishe vizuri de jong mkosa adabu..!!
 
Unajifurahisha tu, unauwezo wa kumfunga Barca wewe
 
1. Ronaldo ni kama anawaambia "msije mkaniweka benchi tena" "msije mkasema mimi ni mzee tena"

2. Naona Maguire anapasha ataingia na inaonekana atafunga goli la kichwa leo.
 
Kweli kabisa jukwaa hili la kipekee huwa hakuna matusi kama Arsenyeto na kwengine ,mpuuzi mmoja asiharibu Cv ya humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…