Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Fairly man utd deserved a win for this match ni ujinga wa vijana wachache tu kujichekesha kwenye 18 ya timu pinzani. It could be 0-2 kama vijana wangekua serious pale mbele
Kuna ufala mwingi sana ulikua unafanyika kipindi cha kwanza.
Hii game ilitakiwa iwe imemalizika mapema sana ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza ila naona wachezaji wetu waliingia uwanjani na mentality ya kutoka sare.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…