Kutoka ndani ya moyo wangu..I feel pity for Ronaldo
Alitakiwa awe na goli zaidi ya 3 leo kwa jinsi ambavyo ametengewa...kapewa dakika zote leo kachemka...
Na assist zake 2 leo angeng'ara sana!!!
Tukiachana na Ronaldo hivi hii timu si ilitakiwa ife kwa zaidi ya goli 5??