Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Tupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kochaarsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Unafurahishaga ukija kule jukwaan unatamba Sancho kaimprovearsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Kwo we unataka timu zote bajeti zao ziwe sawa, yan ni sawa na kutaka kila kaya tanzania tule ugali maharage kila sikuHata yule ole sendeka na yule mwalimu wa Klopp na tuchel mlisema wanatengeneza timu, ila mliwatimua
Huyo klopp unayemsema alitumia £177m kuleta Allison ,vvd,fabinho,ox,keita,Salah
Tena baada ya mauzo ya coutinho
Arteta pesa kubwa aliyowahi kutumia Ni £140m ,
Sasa huyu kipara wenu katumia over £200+m dirisha moja tu , timu bado inacheza kwa ujanja ujanja
Kama Klopp ukimpa Sasa £200m+ hata Arteta umpe hiyo £200+m kwa dirisha moja ,timu haiwez kucheza kwa ujanjaujanja Kama kina westham ,
Mkuu naona umeamua kupiga panapouma.😁Huyu mwamba asingejiongeza basi asingenyanyua hili dude mpaka anakufa.
Bahati nzuri akawahi kushtukia mchongo akaachana na watoto akaja kujiunga na wanaume.
Mpaka kesho akiwa anahojiwa hua anapenda zaidi kuizungumzia Manchester United aliyoichezea kwa misimu miwili tu kuliko Arsenyani aliyoitumikia kwa 8 season's.
Pia hua anajutia na akijilaumu sana kwa kupoteza nguvu zake miaka nane kwa Arsenyani ambako aliambulia kubebeshwa masufuria ya ngao ya hisani.View attachment 2372526
Childish reasoningTupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kocha
Mlimpamba Sana Yule mwalimu wa Klopp na tuchel mkaishia awaachie timu
Huyu Ten hagg mara Mia Ole , ukibisha tunaweka kumbukumbu ,mtakuja hapa kudai awaachie timu
Hivi ndio Huyu alisema Guardiola ajiandae era imeisha
Kwa mpira huu wakuvizia na kukaa nyuma ,na hapo unaambiwa katumia £250m dirisha moja
Achana naye anavuta bangi mbichiChildish reasoning
Zikiisha ulizokunywa uje uandike upya labda uko na point
Mtego uo
Hawa Arsenyani ukitaka kuwapigilia msumari unatafuta kwanza sehemu yenye kidonda halafu hapohapo ndio unagongelea msumari wako.Mkuu naona umeamua kupiga panapouma.
Inabidi n'cheke kwanzaArteta kawapa mafanikio gani hadi umemtaja hapo na klopp mkuu?
Au umesahau tupo wote Europa na mlikuwa juu kwa point nyingi tu msimu uliopita?
Nenda kaangalie mnavyo nyonyolewa.Oyaa kesho mutaeza mpiga shityee nyie takataka?.
Unahangaika huku wakati mnaliwa kule kwenuOyaa kesho mutaeza mpiga shityee nyie takataka?.