Manchester United (Red Devils) | Special Thread

arsenyani kama watoto wadogo kwaiyo achana nao tu hao.
Tupo hapa had X mass Kama hamjaanza mapambio Ya kumtimua kocha

Mlimpamba Sana Yule mwalimu wa Klopp na tuchel mkaishia awaachie timu

Huyu Ten hagg mara Mia Ole , ukibisha tunaweka kumbukumbu ,mtakuja hapa kudai awaachie timu🤣🤣

Hivi ndio Huyu alisema Guardiola ajiandae era imeisha🤣

Kwa mpira huu wakuvizia na kukaa nyuma ,na hapo unaambiwa katumia £250m dirisha moja
 
Kwo we unataka timu zote bajeti zao ziwe sawa, yan ni sawa na kutaka kila kaya tanzania tule ugali maharage kila siku

Bajeti zinatokana na mapato so km timu inaingiza pesa ya kutosha why wasi spend big???

Af ralph hakuja kutengeneza timu alkuja kuivusha timu mpk msimu umalzike tutafute kocha
 
Mkuu naona umeamua kupiga panapouma.😁
 
Childish reasoning
Zikiisha ulizokunywa uje uandike upya labda uko na point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…