Manchester United (Red Devils) | Special Thread

nikusaidie tu kusummarize fuc.k moyes and his the so called benchi la ufundi
 
nikusaidie tu kusummarize fuc.k moyes and his the so called benchi la ufundi

acha kutokwa povu wewe msikilize Nzi anachosema,sasa wewe shabiki wa mpira au wa matokeo?!!utavumilia kweli Man Utd ikishuka daraja wewe?mbona wenzenu liverpool,Arsenal ni wavumilivu?na kwa hakika wale ndio mashabiki wa mpira sio nyinyi wa na wale mabwabwaz ya darajani,hayo ni kutimuatimua tu hata kocha awe ana wiki 1,hebu angalia Arsenal mwaka wangapi huu hawajapata kitu?rudi liver nao inakuwaje na wenzio bado wana imani na timu zao na mameneja wao!nyie msimu uliosha tu mumebeba ndoo,msimu huu timu inapita kwenye transition period povu linawamwagika!teh teh teh teh munalo hilo jirani,chei chei
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahaha nimecheka saana leo jamani kuna text nimetumiwa inasema eti wanawake wamefunguka na kusema kuwa wanampenda sana Daudi Moyes kwasababu amesababisha waume zao wa wai kurudi Nyumbani.
Hahahahahahahaha.
Hitaaari aisee.
 
Fringpong anamtania Moyes kwamba alikwama Sundarland na anaomba lifta au kutafuta usafiri wa kumrudisha Goodison Park, ambayo ni makao makuu ya Everton,



Mo No kapata lift tayari khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Free Mo No from Old Trashford .... .... .
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Vumilia upepo tu huu unapita ..mtakuwa mabingwa wala msiogope..na uefa mtachukua ndoo
 
sasa nisitoke povu timu ambayo imekuwa bingwa mwaka jana leo hii iko nafasi ya 7,kaja kocha mopya na mbinu mpya na style mpya ya ucchezaji lakini hajaja na wachezaji wapya kamnunua mmoja kwa tena kwa kupanick,na hajauza hata mmoja,timu inayotaka itetet ubingwa wake inampanga giggs dk tisini za mechi giigs ambae alianza kuchezea mpira toka enzi raisi mwinyi mpk leo hhii bado anacheza,nisitokwe povu wakati valencia na cleverley wana uhakika wa namba na kagawa hana.???does it make sense to you.
 

Tutaonana wabaya hayaa...!!!
 
acha kutokwa povu wewe msikilize Nzi anachosema,sasa wewe shabiki wa mpira au wa matokeo?!!.........................

Mkuu Happycuit upo sahihi kabisa wachangiaji wengi ni mashabiki wa matokeo siyo wa mpira wa timu
 
Last edited by a moderator:


Preview: United v Swansea

Date, time and coverage: Saturday 11 January, 17:30 GMT. Live TV coverage in the UK on Sky. Follow the action live via ManUtd.com's rolling blog and MUTV Online's radio commentary.

Form guide: United will want to make sure the disappointing start to 2014 comes to an end when Swansea return to Old Trafford just six days after their dramatic win in the third round of the FA Cup. Wilfried Bony’s header handed the Swans victory for the first time in eight outings, not to mention their first ever on the Reds’ home turf. They’ll begin this weekend’s fixtures four points above the relegation zone.

Ins and outs: Jonny Evans looked to be carrying a knock of some kind when the defender was substituted at Sunderland, possibly adding to David Moyes’ list of absentees. Wayne Rooney has missed the last two matches with a groin problem, while Robin van Persie has yet to return to action following a thigh injury sustained a month ago. Phil Jones may be close to a return after damaging a knee, but Nani has a hamstring strain, the extent of Rio Ferdinand's injury from last Sunday is unknown and Marouane Fellaini will be absent for some time following wrist surgery. For Swansea, wingers Pablo Hernandez and Roland Lamah are out with hamstring and abductor issues respectively, goalkeeper Michel Vorm is still short of fitness after a successful knee operation and striker Michu is out for several more weeks after ankle surgery. A calf problem means that midfielder Jonathan de Guzman misses out, as does Dwight Tiendalli following a hamstring strain.

Last meeting: That will be last Sunday’s FA Cup exit, where Javier Hernandez swiftly cancelled out a 12th minute opener from Wayne Routledge, who turned provider late on when Bony nodded his cross beyond Anders Lindegaard. United were a man short for the last 10 minutes after Fabio got his marching orders for a crude challenge on Jose Canas shortly after replacing the injured Rio Ferdinand.

Betting: The Reds are 1.45 to win with our official online betting partner bwin, while the draw is 4.25 and Swansea are 6.75 to repeat last Sunday’s outcome. Adnan Januzaj had a goal ruled out for offside and came close to scoring several other times at Sunderland, so the talented teenager is temptingly priced at 29.00 to open the scoring in a 2-0 win.

Quote/unquote: "They have to win this game so we have to be ready. It will be a tough game again. They won't like what they hear about losing three in a row. But If they win a game, they are back. Football can change in a matter of weeks." Swansea boss Michael Laudrup.

Whistle blower: Chris Foy will take charge of a United match for the second time this season - the St Helens-based 51-year-old also officiated for the Reds’ 2-1 win over Sunderland in October, during which he issued six yellow cards.

Manchester United v Swansea City Premier League preview - Official Manchester United Website
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…