Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Arsenal mnaojipitisha humu, screen shot table kabla ya jumapili ili mtunze kumbukumbu kwamba mliongoza ligi.


ERAS COME TO AN END
Kwa timu gani mliyonayo? Unapigwa kama umesimama.
 
Unadhani kocha anafurahia kumpanga Elanga? Hakuna anayejivunia kuwa na kikosi kama kile ila ndiyo wachezaji tulionao. Acheze nani sasa?
Fred, Elanga, Mctomy, Maguire, na Rashford wote hao chini ETH hawatokuwa na namba. Kocha anayajua matatizo ya man u ukiacha uongozi pia kuna wachezaji co wakuchezea timu kubwa kama utd, ni kweli ni wazuri ila co world class players, hawawezi pressure ya timu kubwa ndiyo maana unaona wanazingua. Hao level yao ni Arsenal, Tottenham, Aston villa na the likes of that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…