Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Soon anakuja kuflop na atataman kurudi ajax ,maana united haijawahi kung'alisha mchezaji yeyote kwa kizazi hiki
 

Hawa Ajax hawataki kumuuza huyu Anthony au?
Man United kuna shida mahali,

Huyo Antony alikuwa ni first targeted,,

Kwann wasubiri hadi deadline?

Walipaswa kumalizana na Ajax muda mrefu..

Matokeo ya kuhusishwa na tetesi za kila mchazaji ndy hayo..
 
Ameandika simon peach

MUFC defender Eric Bailly has completed his loan move to Marseille.

The French club are paying his wages in full & obligated to buy him for €6m subject to appearances & Champions League qualification.

No loan fee
Duuuh ...Anord Schwarzenegger (Jones) Kabaki ...aseee
 
My lineup vs soton

Martial

Ericksen Bruno Sancho

Casemiro Fred

Malacia Martinez Varane dalot

De gea


Seems like partinership ya Casemiro na fred inaweza ku-work, fred ako na attributes za kukaba pia, team itakua more balanced, Ila hapa InAtegemea na approach ya mwalimu kulingana na aina ya mpinzani !!!!!!

#GGMU
 
Wadau, niwatakie kila mmoja wetu moyo wa uvumilivu na furaha huku leo tukienda kushuhudia stage iliyofikia timu yetu katika mchakato wa mabadiliko unaondelea.

My expectations kwa mwaka huu ni kuqualify Champtions league kwa kuingia top four au kushinda Europa league, na kuingia either Quarter or semi finals za FA na Carabao.

Anything below this, will be a further downward trend, and anything beyond will be a surprise.

Otherwise, I wish my Club all the best.

GO GO Man Utd.
 
Martial anaumwa tena
 
Martial hatokuwepo as per EtH..
 
Pamoja sana. Ila Man bado wachezaji kama watano hivi ili iweze kufikia kiwango. Kule mbele wingers wote bado mimi roho haijatulia. Sancho kwangu ni overrated. Rashford naye inategema ameamkaje. Martial siyo striker, siyo winger, sijui nimuweke wapi. Kwa kifupi tunahitaji wingers kama wawili, wale ambao wakiwa kwenye situation ya one vs one, au one vs two, wanaleta kizaazaa. Kama Saint-Maximin wa Newcastle alivyokuwa anawasumbua Man City mechi iliyopita.
 
Leo makarani wa sensa wamekuja home huku wanachekacheka, nikawakaribisha ndani na kuwapatia vinywaji walainishe koo ili zoezi lianze.
Badala ya kuanza kuniuliza maswali namuona karani yuko na furaha kinyama ikabidi nimuulize kulikoni?
Akanijibu kwani we kaka haujui kua leo mchana Manchester United ipo uwanjani?
Nikamjibu nafahamu hilo ila muda huo si mtakua mnaendelea na zoezi la kukusanya takwimu?
Akanijibu kua Tume kwa kutambua uzito wa Manchester United Vishikwambi vyote vinavyotumika kwenye zoezi zima la sensa vimeunganishwa vitakua vinaonyesha mechi live hivyo muda wa mpira ukifika wameambiwa wapumzike waangalie timu kubwa zaidi duniani inavyotoa burudani kwa ulimwengu mzima bila ya kubagua dini, kabila, rangi wala jinsia.
Hapo ndio nikaamini yale maneno ya allypipi

"Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
"
 
Dahhh mashabiki wa nyumbu bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…