Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Asante kwa ufafanuzi chief
 
De Gea abaki, kama atakubali awe namba 2 na kipa anayekuja msimu huu akubali msimu ujao awe namba 3. Henderson akifanya vizuri awe namba 1 au auzwe kocha anunue kipa atakayemhitaji.
Kwa mshahara wake, unapata makipa wazuri wawili na chenji inabaki.
 
Bado ila ndiyo offer inayoripotiwa watapeleka, ni pesa nyingi sana £80M inabidi United waweke add-ons hata £15M itakuwa fair price.

United wakipeleka offer mpya imeisha hiyo.
Ok but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.
 
Ok but oflate,100M inaelekeakuwa ni price ya kawaida tena kwa potential players,Nahisi tukizubaa next season gharama itaongezeka zaidi.
100M inaanza kuwa pesa ya kawaida sana ila kuna timu ndiyo zinachangia kuharibu soko, Benfica na Dortmund
Anthony siyo mchezaji wa 100M ndiyo maana vipengele vya add-ons vinatumika.
 
sasa anafuata fuata timu yetu ya nini?, si alisema anataka kuondoka, si aache kwenda mazoezi kama alivyofanya wakati wa preseason.

au kuna kitu sielewi?
Yupo binded na mkataba ila kiukweli wakala wake anamtafutia timu na yupo tayari kupunguza mshahara 30%. Timu nyingi hazipo tayari kuwekeza kwake kwa miaka 2.
 
Ameandika david ornstein
Tier 1



Manchester United have made an offer to sign Newcastle United goalkeeper Martin Dubravka.

Proposal is to take 33yo Slovakia int’l on loan as competition for De Gea.

No agreement, talks ongoing

Credit to @skysports sheth report
 
Mike Verweij:
Manchester United have placed an offer above €90M for Antony.

The player wants to make the move within the next 48 hours and has asked the club to cooperate

Tier 1
 
Ameandika david ornstein

Manchester United confident of reaching an agreement with Ajax to sign Antony.

22yo Brazil international winger now main recruitment focus for #MUFC;

pursuit of PSV Eindhoven attacker Cody Gakpo believed to have cooled somewhat
Tier 1
 
Ameandika simon peach

MUFC defender Eric Bailly has completed his loan move to Marseille.

The French club are paying his wages in full & obligated to buy him for €6m subject to appearances & Champions League qualification.

No loan fee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…